Apetizer!!

Thanteee Amu nliitengeneza hiyo n tamu sana
 
af wewe!
sio bure kuna mdomo wa mtu hapo!

mdomo wa nani tena??
wewe umepewa oda mwenyewe kwa mskio yako umeskia wakitamka tena hata sikuwamo halafu unajishaua, unalo bibie mi simo...............hebu kwanza leo tukutane
 
mdomo wa nani tena??
wewe umepewa oda mwenyewe kwa mskio yako umeskia wakitamka tena hata sikuwamo halafu unajishaua, unalo bibie mi simo...............hebu kwanza leo tukutane
hivi hapa na snowhite mnaongelea nini?
 
Last edited by a moderator:
hivi hapa na snowhite mnaongelea nini?

acha tuu mwali snowhite alipewa oda ya visheti sasa jana oda ikaongezeka na maamri yanatakiwa ndo namwambia mie simooo apikie watu visheti na maamri.

wewe utakuja kuwapikia visra
 
Last edited by a moderator:
hivi hapa na snowhite mnaongelea nini?

ah huyu dadako nae ana kiranga ka nini!!
kanibabatiza pishi la visheti mwali hapa nadaiwaje
to make the matter worse wameongeza na maamri!sasa hapa odo mi nikobusy hatareeee huo muda wa kupika hivo cisheti tu balaa !sasa na mamri tena!
 
Nimetengeneza hiko chakula amu kimekuwa kitam sana...Thnx for the receipe....
 
Last edited by a moderator:
Nimetengeneza hiko chakula amu kimekuwa kitam sana...Thnx for the receipe....
waoooo sasa shem alikula???
Huo ndo ulozi wa kidijitali bana
 
Last edited by a moderator:
jamani mi ndo nakula hapa ugali wa dona,biringanya za kukaanga na kachumbari.karibuniii
 

Asante mum.. Tatizo situmii pilipili ila nitajaribu ya bila pilipili....
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…