Pre GE2025 Apewe Lissu atapambana na CCM? Kwa njia ipi?

Pre GE2025 Apewe Lissu atapambana na CCM? Kwa njia ipi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Pekee ambae ameweza kupambana na CCM ni maalim Seif.

Mpaka anaondoka ktk dunia Maalim amekuwa makamo wa Rais na kukiacha chama chake kikikuwa sehemu ya serekali.

Hii imetokea baada ya maalim kukubalika Pemba 98% karibu uhai wake wote. Na kukubalika Unguja angalau 70%.

Haikuwa kazi rahisi hata kidogo. Zimepita miafaka mingi, katembea Ulaya, UNO, Oman na karibu dunia nzima.

Watu wameingia barabarani kushindikiza na watu wamepoteza mali, uhai na wengine maslahi yao. Harakati zote hizo wameangukia robo mkate

Sasa najiuliza kwa LISSU
Vipi atapambana na CCM hadi angalau kuingia katika serekali ya kitaifa ( NUSU MKATE)

Nauliza hivi kwa sababu. Lissu

1. Haamini maridhiano
2. Ndani ya chama chake hali unaiona
3. Tanzania Bara raia siasa woga, yaani bado awareness ktk siasa haipo.
4. UNO, ULAYA hana ushawishi kiasi hicho
5. Ndani ya CCM hana ushawishi

SASA MBINU GANI ATATUMIA? au kupaza sauti?

Kupaza sauti kutasaidia? Kama kupaza sauti kunasaidia kwanini hadi leo uchunguzi tu kesi yake haujatolewa

SASA ATAPAMBANA NA CCM KWA NJIA IPI?
 
Kwahiyo wewe unategemea serikali kuishi? Pole sana Mr Kobazi.
Wewe hutegemei? Dawa unapata wapi? Passport unajitengezea? Patrol unakisima chako? Hizi akili zako kama kilokole lokole
 
Pekee ambae ameweza kupambana na CCM ni maalim Seif. Mpaka anaondoka ktk dunia Maalim amekuwa makamo wa Rais na kukiacha chama chake kikikuwa sehemu ya serekali.
Hii imetokea baada ya maalim kukubalika Pemba 98% karibu uhai wake wote. Na kukubalika Unguja angalau 70%.
Haikuwa kazi rahisi hata kidogo. Zimepita miafaka mingi, katembea Ulaya, UNO, Oman na karibu dunia nzima.
Watu wameingia barabarani kushindikiza na watu wamepoteza mali, uhai na wengine maslahi yao. Harakati zote hizo wameangukia robo mkate

Sasa najiuliza kwa LISSU
Vipi atapambana na CCM hadi angalau kuingia ktk serekali ya kitaifa ( NUSU MKATE)
Nauliza hivi kwa sababu. Lissu
1. Haamini maridhiano
2. Ndani ya chama chake hali unaiona
3. Tanzania Bara raia siasa woga, yaani bado awareness ktk siasa haipo.
4. UNO, ULAYA hana ushawishi kiasi hicho
5. Ndani ya CCM hana ushawishi

SASA MBINU GANI ATATUMIA? au kupaza sauti?
Kupaza sauti kutasaidia? Kama kupaza sauti kunasaidia kwanini hadi leo uchunguzi tu kesi yake haujatolewa

SASA ATAPAMBANA NA CCM KWA NJIA IPI?
Wewe ni mccm tena mzanzibari mambo ya Chadema waachie wenyewe hayakuhusu.
 
Itajulikana mbele kwa mbele

Na hizi ndio drama zenu ccm, mmewaaminisha wananchi eti ikitokea upinzani unapewa mamlaka kutaibuka vita

Wewe ni nani mpaka ujue yajayo?

Mbowe na ccm
Lissu na Chadema
 
Itajulikana mbele kwa mbele

Na hizi ndio drama zenu ccm, mmewaaminisha wananchi eti ikitokea upinzani unapewa mamlaka kutaibuka vita

Wewe ni nani mpaka ujue yajayo?

Mbowe na ccm
Lissu na Chadema
Lissu atafanya nini?
 
Salum mwalim anaongoza chadema kanda gani?
Ustaadh tuachie wenyewe mambo ya Chadema wewe kahubiri mabikra 70 peponi ndiyo uwezo wako . Kula chuma hicho.
 

Attachments

  • images (13) (1).jpeg
    images (13) (1).jpeg
    10.9 KB · Views: 2
Wewe hutegemei? Dawa unapata wapi? Passport unajitengezea? Patrol unakisima chako? Hizi akili zako kama kilokole lokole
Mimi sitegemei serikali kuendesha maisha mzee. Pole sana kwa utegemezi kumbe ndiyomaana mliomba serikali iwanunulie kifaa cha kuangalia mwezi
 
Back
Top Bottom