Pre GE2025 Apewe Lissu atapambana na CCM? Kwa njia ipi?

Pre GE2025 Apewe Lissu atapambana na CCM? Kwa njia ipi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mimi sitegemei serikali kuendesha maisha mzee. Pole sana kwa utegemezi kumbe ndiyomaana mliomba serikali iwanunulie kifaa cha kuangalia mwezi
Serekali huwezi kueupuka kuendesha yako, labda uishi ktk mwezi. Kuomba serekali kununua kifaa cha kuangalia mwezi hamna tatizo, sawa na kuomba kusaidiwa ujenzi wa kanisa
 
Serekali huwezi kueupuka kuendesha yako, labda uishi ktk mwezi. Kuomba serekali kununua kifaa cha kuangalia mwezi hamna tatizo, sawa na kuomba kusaidiwa ujenzi wa kanisa
Kifaa cha milioni 5 unalinganisha na kanisa la bilioni 5?
 
Kama Lıssu hatafanya lolote, yanini kumjadili.

Mtu hata haja chaguliwa, watu wanaonesha kumhofia.

Hicho wanachoogopa kutokea ndiyo uwezo wenyewe.

Mwacheni aongoze muone watu watalala au watachangamka.
 
Maalim Seif alipambana nao kwa lipi wakati nayeye alikuwa TISS mwaminifu?
Acha propaganda za kishamba wewe! Maalim Seif ndio mwanasiasa wa upinzani bora kabisa kutokea kwenye jamuhuri hii ya muungano. Ndio mwanasiasa ambaye aliwahi kupambana na Mwalimu nyerere. Ref kesi ya uhaini iliyokuwa ikiwakabili yeye na Ahmad Rashid.
Seif kilichomponza zaidi ni kutishia kuitisha kura ya maoni kama zanzibar ibaki kwenye muungano ana la.
Seif wa baada vyama vingi hajawahi kuwa serekalini kwa namna yoyote mpaka walipopitisha katiba mpya. Iliyomfanya kuwa makamu wa kwanza wa rais
 
Acha propaganda za kishamba wewe! Maalim Seif ndio mwanasiasa wa upinzani bora kabisa kutokea kwenye jamuhuri hii ya muungano. Ndio mwanasiasa ambaye aliwahi kupambana na Mwalimu nyerere. Ref kesi ya uhaini iliyokuwa ikiwakabili yeye na Ahmad Rashid.
Seif kilichomponza zaidi ni kutishia kuitisha kura ya maoni kama zanzibar ibaki kwenye muungano ana la.
Seif wa baada vyama vingi hajawahi kuwa serekalini kwa namna yoyote mpaka walipopitisha katiba mpya. Iliyomfanya kuwa makamu wa kwanza wa rais

Maalim Seif ndie mtu alieivuuruga zaidi CCM akiwa ndani ya CCM. Ndie mtu pekee aliekua akimlalisha Nyerere na viatu, Jamaa Ni GOAT
 
Acha propaganda za kishamba wewe! Maalim Seif ndio mwanasiasa wa upinzani bora kabisa kutokea kwenye jamuhuri hii ya muungano. Ndio mwanasiasa ambaye aliwahi kupambana na Mwalimu nyerere. Ref kesi ya uhaini iliyokuwa ikiwakabili yeye na Ahmad Rashid.
Seif kilichomponza zaidi ni kutishia kuitisha kura ya maoni kama zanzibar ibaki kwenye muungano ana la.
Seif wa baada vyama vingi hajawahi kuwa serekalini kwa namna yoyote mpaka walipopitisha katiba mpya. Iliyomfanya kuwa makamu wa kwanza wa rais
CCM wameharibu fahamu zenu. Maalim ni alikuwa Mbowe wa Zenji
 
A
Pekee ambae ameweza kupambana na CCM ni maalim Seif.

Mpaka anaondoka ktk dunia Maalim amekuwa makamo wa Rais na kukiacha chama chake kikikuwa sehemu ya serekali.

Hii imetokea baada ya maalim kukubalika Pemba 98% karibu uhai wake wote. Na kukubalika Unguja angalau 70%.

Haikuwa kazi rahisi hata kidogo. Zimepita miafaka mingi, katembea Ulaya, UNO, Oman na karibu dunia nzima.

Watu wameingia barabarani kushindikiza na watu wamepoteza mali, uhai na wengine maslahi yao. Harakati zote hizo wameangukia robo mkate

Sasa najiuliza kwa LISSU
Vipi atapambana na CCM hadi angalau kuingia katika serekali ya kitaifa ( NUSU MKATE)

Nauliza hivi kwa sababu. Lissu

1. Haamini maridhiano
2. Ndani ya chama chake hali unaiona
3. Tanzania Bara raia siasa woga, yaani bado awareness ktk siasa haipo.
4. UNO, ULAYA hana ushawishi kiasi hicho
5. Ndani ya CCM hana ushawishi

SASA MBINU GANI ATATUMIA? au kupaza sauti?

Kupaza sauti kutasaidia? Kama kupaza sauti kunasaidia kwanini hadi leo uchunguzi tu kesi yake haujatolewa

SASA ATAPAMBANA NA CCM KWA NJIA IPI?
Anategemea kuandamana tu siyo maridhiano
 
Malaria 2 hebu tulia kwanza chadema ifanye mabadiliko ya ki uongozi ndio uje na abrakadabra zako.
 
Kitu nimejifunza, hawa wataalam wa sheria kielimu sio wanasiasa wazuri. Ukilinganisha Maalim Seif na Othman Masoud.

Utagundua Masoud hana mvuto, ingawa anaifahamu sheria,na sio mwanasiasa mzuri.

Ukimuangalia Lisu, ni mjuzi wa sheria na anamvuto lakini sio mwanasiasa mzuri.

Babu Duni na Maalim ni wanasiasa wazuri sana lakini hawakusoma sheria.

Lisu hata akishinda urais anaweza kumaliza miaka mitano yuko mahakamani hajatumikia nafasi yake ya urais.
 
Back
Top Bottom