Serekali huwezi kueupuka kuendesha yako, labda uishi ktk mwezi. Kuomba serekali kununua kifaa cha kuangalia mwezi hamna tatizo, sawa na kuomba kusaidiwa ujenzi wa kanisaMimi sitegemei serikali kuendesha maisha mzee. Pole sana kwa utegemezi kumbe ndiyomaana mliomba serikali iwanunulie kifaa cha kuangalia mwezi
Kifaa cha milioni 5 unalinganisha na kanisa la bilioni 5?Serekali huwezi kueupuka kuendesha yako, labda uishi ktk mwezi. Kuomba serekali kununua kifaa cha kuangalia mwezi hamna tatizo, sawa na kuomba kusaidiwa ujenzi wa kanisa
KuridhikaKifaa cha milioni 5 unalinganisha na kanisa la bilioni 5?
Kobazi kama kobazi,Kuridhika
Acha propaganda za kishamba wewe! Maalim Seif ndio mwanasiasa wa upinzani bora kabisa kutokea kwenye jamuhuri hii ya muungano. Ndio mwanasiasa ambaye aliwahi kupambana na Mwalimu nyerere. Ref kesi ya uhaini iliyokuwa ikiwakabili yeye na Ahmad Rashid.Maalim Seif alipambana nao kwa lipi wakati nayeye alikuwa TISS mwaminifu?
Acha propaganda za kishamba wewe! Maalim Seif ndio mwanasiasa wa upinzani bora kabisa kutokea kwenye jamuhuri hii ya muungano. Ndio mwanasiasa ambaye aliwahi kupambana na Mwalimu nyerere. Ref kesi ya uhaini iliyokuwa ikiwakabili yeye na Ahmad Rashid.
Seif kilichomponza zaidi ni kutishia kuitisha kura ya maoni kama zanzibar ibaki kwenye muungano ana la.
Seif wa baada vyama vingi hajawahi kuwa serekalini kwa namna yoyote mpaka walipopitisha katiba mpya. Iliyomfanya kuwa makamu wa kwanza wa rais
Na ndiyo maana yanajambiana hovyo baada ya kuona kachukuwa fomu ya kugombea uenyekiti.Lissu ndio kiboko ya ma ccm yote, hadi bi ushungi anamjua vzr!!.
CCM wameharibu fahamu zenu. Maalim ni alikuwa Mbowe wa ZenjiAcha propaganda za kishamba wewe! Maalim Seif ndio mwanasiasa wa upinzani bora kabisa kutokea kwenye jamuhuri hii ya muungano. Ndio mwanasiasa ambaye aliwahi kupambana na Mwalimu nyerere. Ref kesi ya uhaini iliyokuwa ikiwakabili yeye na Ahmad Rashid.
Seif kilichomponza zaidi ni kutishia kuitisha kura ya maoni kama zanzibar ibaki kwenye muungano ana la.
Seif wa baada vyama vingi hajawahi kuwa serekalini kwa namna yoyote mpaka walipopitisha katiba mpya. Iliyomfanya kuwa makamu wa kwanza wa rais
Anategemea kuandamana tu siyo maridhianoPekee ambae ameweza kupambana na CCM ni maalim Seif.
Mpaka anaondoka ktk dunia Maalim amekuwa makamo wa Rais na kukiacha chama chake kikikuwa sehemu ya serekali.
Hii imetokea baada ya maalim kukubalika Pemba 98% karibu uhai wake wote. Na kukubalika Unguja angalau 70%.
Haikuwa kazi rahisi hata kidogo. Zimepita miafaka mingi, katembea Ulaya, UNO, Oman na karibu dunia nzima.
Watu wameingia barabarani kushindikiza na watu wamepoteza mali, uhai na wengine maslahi yao. Harakati zote hizo wameangukia robo mkate
Sasa najiuliza kwa LISSU
Vipi atapambana na CCM hadi angalau kuingia katika serekali ya kitaifa ( NUSU MKATE)
Nauliza hivi kwa sababu. Lissu
1. Haamini maridhiano
2. Ndani ya chama chake hali unaiona
3. Tanzania Bara raia siasa woga, yaani bado awareness ktk siasa haipo.
4. UNO, ULAYA hana ushawishi kiasi hicho
5. Ndani ya CCM hana ushawishi
SASA MBINU GANI ATATUMIA? au kupaza sauti?
Kupaza sauti kutasaidia? Kama kupaza sauti kunasaidia kwanini hadi leo uchunguzi tu kesi yake haujatolewa
SASA ATAPAMBANA NA CCM KWA NJIA IPI?
How? Kwa miaka yake yote amefanya kipi Cha kubbaisha CCM?Lissu ndio kiboko ya ma ccm yote, hadi bi ushungi anamjua vzr!!.