kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Ukweli ni lazima usemwe Mbowe ni jabali la siasa pamoja na mapungufu yake kama mwanadamu,
Dhahiri CHADEMA chini ya ukufunzi wa Mbowe amekuwa ni mpishi muhimu kwa wanasiasa wa Tanzania, na wanafunzi wa Mbowe wengi wao wamekuwa wakishahitimu CHADEMA huchukuliwa na CCM moja kwa moja na kupewa nyadhifa mbali mbali serikalini.
Hiyo ni picha tosha kuwa wamepikwa na wakapikika na hujawahi kusikia Mbowe akiwajibu kwa lolote, japo kila mmoja anaehitimu CHADEMA huondoka kwa matusi na kejeli!
Tusiache mpaka mkufunzi Mbowe afe ndio tusifie kuwa aliandaa vijana wengi wanasiasa kwenye nchi hii.
Ushauri chadema ifungue chuo ianze kutoza ada!
Tumpe maua yake ingali bado yupo hai!
Viva Mkufunzi wa siasa Aboubakari Mbowe malipo yako utayakuta kwa Mungu
Dhahiri CHADEMA chini ya ukufunzi wa Mbowe amekuwa ni mpishi muhimu kwa wanasiasa wa Tanzania, na wanafunzi wa Mbowe wengi wao wamekuwa wakishahitimu CHADEMA huchukuliwa na CCM moja kwa moja na kupewa nyadhifa mbali mbali serikalini.
Hiyo ni picha tosha kuwa wamepikwa na wakapikika na hujawahi kusikia Mbowe akiwajibu kwa lolote, japo kila mmoja anaehitimu CHADEMA huondoka kwa matusi na kejeli!
Tusiache mpaka mkufunzi Mbowe afe ndio tusifie kuwa aliandaa vijana wengi wanasiasa kwenye nchi hii.
Ushauri chadema ifungue chuo ianze kutoza ada!
Tumpe maua yake ingali bado yupo hai!
Viva Mkufunzi wa siasa Aboubakari Mbowe malipo yako utayakuta kwa Mungu