Nyama Choma
Member
- May 19, 2012
- 5
- 2
Hodi humu ndani wajameni...
Ni mimi ndugu yenu Nyama Choma naomba kwa heshima na taadhima mnikarishe ndani niweze kushiriki nanyi katika ujenzi wa taifa letu changa sijui litakuwa kubwa lini?
Nikaribisheni jamaniiiii!!!!!!!!!!
Ni mimi ndugu yenu Nyama Choma naomba kwa heshima na taadhima mnikarishe ndani niweze kushiriki nanyi katika ujenzi wa taifa letu changa sijui litakuwa kubwa lini?
Nikaribisheni jamaniiiii!!!!!!!!!!