Apigwa na sufuria kisa kukataa kula keki ya birthday

Apigwa na sufuria kisa kukataa kula keki ya birthday

Damaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
3,978
Reaction score
6,739
Mwanamume mmoja huko Kayole, Kenya anayetambulika kama Evans Kidero Okoth anauguza majeraha mabaya kichwani baada ya ugomvi mkali baina yake na muuza bar, anayetambulika kama Mary Angara.

Siku ya tukio, Bi Angara alikuwa akisherehekea siku yake ya kuzaliwa na alikuwa akiwakarimu vipande vya keki na chakula na wateja wake ndani ya baa hiyo. Kidero, ambaye alikuwa ameketi mwenywewe na vinywaji vyake kwa alikataa vyakula hivyo.
images - 2025-03-10T114130.693.jpeg


Kukataa kwake kulionekana kumuudhi sana Bi Angara, ambaye alimshtumu ghafla kwa kumdai KSh800.

Kidero kwa mshutuko alisisitiza kuwa hatalipa kiasi ambacho hajui. Ugomvi ulianza, na ghafla Bi Angara alikimbia hadi eneo la jiko la baa, akachukua sufuria ya kupikia na kumpiga Kidero kichwani mara mbili, na kupelekea kupoteza fahamu pale pale sakafuni.
images - 2025-03-10T114233.795.jpeg


Bwana Kidero alikimbizwa katika Hospitali ya Mama Lucy Kibaki kabla ya kupelekwa katika Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta kwa matibabu zaidi.

Baadaye Angara alikamatwa na kufikishwa mbele ya Hakimu Mkuu wa Makadara. Alikana kosa lolote na kwa sasa yuko nje kwa dhamana ya KSh10,000 pesa taslimu.

HASIRA HASARA!
 
Mwanamume mmoja huko Kayole, Kenya anayetambulika kama Evans Kidero Okoth anauguza majeraha mabaya kichwani baada ya ugomvi mkali baina yake na muuza bar, anayetambulika kama Mary Angara.

Siku ya tukio, Bi Angara alikuwa akisherehekea siku yake ya kuzaliwa na alikuwa akiwakarimu vipande vya keki na chakula na wateja wake ndani ya baa hiyo. Kidero, ambaye alikuwa ameketi mwenywewe na vinywaji vyake kwa alikataa vyakula hivyo.
View attachment 3265497

Kukataa kwake kulionekana kumuudhi sana Bi Angara, ambaye alimshtumu ghafla kwa kumdai KSh800.

Kidero kwa mshutuko alisisitiza kuwa hatalipa kiasi ambacho hajui. Ugomvi ulianza, na ghafla Bi Angara alikimbia hadi eneo la jiko la baa, akachukua sufuria ya kupikia na kumpiga Kidero kichwani mara mbili, na kupelekea kupoteza fahamu pale pale sakafuni.
View attachment 3265498

Bwana Kidero alikimbizwa katika Hospitali ya Mama Lucy Kibaki kabla ya kupelekwa katika Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta kwa matibabu zaidi.

Baadaye Angara alikamatwa na kufikishwa mbele ya Hakimu Mkuu wa Makadara. Alikana kosa lolote na kwa sasa yuko nje kwa dhamana ya KSh10,000 pesa taslimu.

HASIRA HASARA!
Wanajuana hao sio bure
 
Namimi nilishawahi lishwa keki na mtu hata simjui na ilikuwa bar!, nilipoona wenzangu wanalishwa na wanakubali mimi ni nani..?
kumbe ukikataa unapigwa na masufuria heri yangu nilikubali, usicheze na birthday za watu...🤣
 
Keki ilikuwa na masharti ya mganga kuwa kila mteja aliyeko siku hiyo lazima ale hiyo keki...🙁🙁
 
Mwanamume mmoja huko Kayole, Kenya anayetambulika kama Evans Kidero Okoth anauguza majeraha mabaya kichwani baada ya ugomvi mkali baina yake na muuza bar, anayetambulika kama Mary Angara.

Siku ya tukio, Bi Angara alikuwa akisherehekea siku yake ya kuzaliwa na alikuwa akiwakarimu vipande vya keki na chakula na wateja wake ndani ya baa hiyo. Kidero, ambaye alikuwa ameketi mwenywewe na vinywaji vyake kwa alikataa vyakula hivyo.
View attachment 3265497

Kukataa kwake kulionekana kumuudhi sana Bi Angara, ambaye alimshtumu ghafla kwa kumdai KSh800.

Kidero kwa mshutuko alisisitiza kuwa hatalipa kiasi ambacho hajui. Ugomvi ulianza, na ghafla Bi Angara alikimbia hadi eneo la jiko la baa, akachukua sufuria ya kupikia na kumpiga Kidero kichwani mara mbili, na kupelekea kupoteza fahamu pale pale sakafuni.
View attachment 3265498

Bwana Kidero alikimbizwa katika Hospitali ya Mama Lucy Kibaki kabla ya kupelekwa katika Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta kwa matibabu zaidi.

Baadaye Angara alikamatwa na kufikishwa mbele ya Hakimu Mkuu wa Makadara. Alikana kosa lolote na kwa sasa yuko nje kwa dhamana ya KSh10,000 pesa taslimu.

HASIRA HASARA!
Tuoneshe picha ya Hilo sufuria tafazali.
 
Back
Top Bottom