Apigweee PK Apigweee

Valencia_UPV

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2016
Posts
6,974
Reaction score
8,750
Wanajeshi wa TZ na SA wamekufa Congo sasa ni ama sisi ama PK na tunajua anafadhili M23. Hilo lipo wazi. Sasa inafaa anyoooshwe bila huruma kwa kupigwa ardhini, Rwandair na kumrudisha Balozi na wahamiaji haramu huku kwao.
 
11
MWALIMU NYERERE ANAMALIZA KWA USHAIRI KWENYE KITABU CHAKE.

UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.

Ole wake Tanzania Tusipoisaidia
Niwezalo nimelifanya kushauri na kuonya nimeonya.

tahadhali nimetoa ushauri na kuonya nimeshatoka kitini zaidi nifanye nini.

Namlilia Jaalia atumulikie njia Tanzania ailinde WAOVU wasiishinde.

Amina Tena Amina Amina Tena amina


UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.
MWALIMU JK NYERERE
 
Pk ana akili sana nataman awe raisi wa tz. Kama pk angekuwa ni rais wa tz tungekuwa mbali sana. Ndo ivo tena penye miti hakuna wajenzi. Jiulize viongozi wetu wangekuwa ndio viongozi wa rwanda, rwanda ingepiga hatua? Wangekuwa wanalialia tu eti sisi ni maskini tunaomba msaada huku wamekalia dhahabu. Kagame ni superman hakuna kama yeye afrika nzima.
 
"" Nchi ikishakuwa inamaadui wake binafsi wengi, hao hao maadui wake ndiyo watakuwa mstari wa mbele kupigana kurejea makwao""
#TIME SHALL TELL!
 
"" Nchi ikishakuwa inamaadui wake binafsi wengi, hao hao maadui wake ndiyo watakuwa mstari wa mbele kupigana kurejea makwao""
#TIME SHALL TELL!
Wanaomsifia hata hawajui hilo. Kwanza watutsi wenzake tu wanampinga. Bado kuna wahutu hajamalizana nao ambao wananyanyapaliwa na watutsi serikalini wanasubiri tu chance wamalize mchezo. Ile nchi haina amani kabisa ila ina utulivu wa muda tu. Na watutsi wanajua siku wahutu wakiwa kwenye power wanajua nini kitawapata.

Wahutu ni wengi sana kuliko watutsi lakini ukiangalia wanajeshi wa rwanda na viongozi wa serikali unaona ni watutsi tu hadi watu wanadhani watutsi ndio wanyarwanda wenyewe. Nchi kama hiyo ni bomu linalosubiri kulipuka.
 
Yule kiongozi bana ..... syo hawa kutwa wako na wasanii ambao ndy washauri wahoo

Pk ngoma ngumu

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…