Apona ghafla tu baada ya Gari ya Wagonjwa iliyokuwa ikimkimbiza Hospitali kupata Ajali na Kuua Muuguzi na Dereva

Dah, hii hatari.....yaani mgonjwa kageuka kuwa muuguzi tena?
 
Alikua anatoka damu masikioni na mdomoni

Ila baada ya ajali damu zikakata

Akapona yeye na ndugu zake (wasindikizaji) dereva na nesi wakang'ata vumbi

Tena ilikua mita chache kufika hospitali ya wilaya (Destination )
Aliponea hospitali, Soma vizuri maelezo ya polisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…