Majuzi katika mitandao ya jamii nimetumiwa app ya HIV test inayotaka kudownload kwenye playstore ambapo ukishadownload unaweka kidole kwa muda kama Dk 1 ina scan inakupa jibu kama una virus au hauna.
Swali langu ni Je, App hii ina ukweli wowote katika majibu yake maana haiko consistent!?
Naamini huku kuna wataalam wa afya wanaoweza kutuambia iwapo wanaijua hii app na ufanisi wake.
Swali langu ni Je, App hii ina ukweli wowote katika majibu yake maana haiko consistent!?
Naamini huku kuna wataalam wa afya wanaoweza kutuambia iwapo wanaijua hii app na ufanisi wake.