Ngoja waje maana hata Mimi nilikuwa najiuliza sana juu ya hilo swala
Majuz ktk mitandao ya jamii nimetumiwa app ya HIV test inayotaka kudownload kwenye play store ambapo ukishadownload unaweka kidole mda Kama Dk 1 Ina scan inakupa jibu Kama Una virus au haina. Swali langu ni je app hii Ina ukweli wowote ktk majibu yake maana haiko consistent
Naamini huku kuna wataalam wa afya wanaoweza kutuambia iwapo wanaijua hii app na ufanisi wake
Sure...kuna jamaa alifanya utani afu ikamwambia anayo du ikabidi nimtulize kuwa si ya kweli
hivi mtaanzaje kufuatilia hizo apps... kwa vyovyote vile hizo ni games tu...
uki-download ni sawa na kupoteza mb bure.
si za kweli achaneni nazo.
Sasa kwanini wanaziweka?, je wanataka tu waibie watu?, kama hivyo kwanini serikali inaacha hali hiyo iendelee?
Inawezekana ikawa na ukweli flani maana ipo ya kupimia haemoglobin na inatoa majibu, research ilifanyika juzi juzi Mwezi wa sita Muhimbili. Jamaa anatoka india
Naomba link ya results za hiyo research au jina la huyo mtafiti toka India ili nijifunze namna inavyofanya kazi hiyo non-invasive technique.
Naomba link ya results za hiyo research au jina la huyo mtafiti toka India ili nijifunze namna inavyofanya kazi hiyo non-invasive technique.
mkuu nishasema hizo ni games tu za kujifurahisha. Serikali kamwe haitazuia hicho, ni sawa na zile apps za kutrack caller location nyingi ni fake(just games) zinawekwa tu for funny...