Kivipi embu fafanua. Kidogo
Hongera sana kwa kuuliza,kuuliza kwako ndio ukombozi wako kifikra;
Uongo kuhusu HIV/AIDS umelalia katika masuala makuu manne(4):
1.Historia yake ni uongo mtupu,
2.Nadharia yake (kwamba HIV husababisha AIDS na HIV/AIDS huambukizwa kwa njia ya ngono,na kwamba AIDS haina dawa) ni uongo mtupu,
3.Vipimo vya 'HIV' ni kanya boya,yaani vya uongo/feki/vya kitapeli,havipimi kijidudu chochote,
4.Vidonge vya ARVs havina faida YOYOTE ile zaidi ya hasara,na ndio hivi vidonge vinavyosababisha AIDS ya ukweli kwa wale wanaovitumia.ARVs husababisha Cancer,matatizo ya ini,figo,moyo,kisukari,upungufu wa damu nk ambayo ndio matatizo yanayowaua wale wanaozitumia.
Si rahisi kujua ukweli huu kwa sababu zifuatazo;
1.Unahitaji kuwa na uelewa kuhusu baiolojia na kemia ili ikusaidie kudadavua,
2.Unahitaji kuwa na uelewa wa kutosha kuhusu historia ya serikali ya Marekani kuanzia mwaka 1910,
3.Unahitaji kuwa na uelewa wa kutosha kuhusu siasa za kimataifa,
4.Unahitaji kuwa na uelewa kuhusu uhusiano wa mwanadamu na mazingira yake,
5.Unahitaji kuwa mdadisi sana,mwepesi kuelewa mambo mapya na kutumia mantiki/logic katika kudadisi,
6.Unahitaji kuwa tayari kupokea mambo tofauti kabisa na jinsi uyaelewavyo sasa.
Watu wengi hawana sifa hizi,ndio maana wengi wanaishi kama mifugo na kupelekwa kokote kulingana na matakwa ya mchungaji.Na ndio maana hautakuja kusikia inatangazwa kwamba dawa ya HIV/AIDS imepatikana,hii ni kwa sababu hakuna ugonjwa kama huu,hivyo huwezi kupata dawa ya ugonjwa HEWA.
Kwa kukusaidia zaidi pitia uzi huu hapa chini kwa umakini mkubwa,huu ndio msaada wangu kwako, hata nikifa leo utanikumbuka kwa hili;
https://www.jamiiforums.com/jf-doct...ye-ukimwi-tena-peku-na-asipate-ukimwi-64.html