App ya Kikuu ni upuuzi mtupu

App ya Kikuu ni upuuzi mtupu

muhala.jr

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2014
Posts
746
Reaction score
655
Habari wana JF!

Naomba kuuliza kwa anayefahamu kuhusu hawa jamaa wa Kikuu Tanzania. Ni application ya kuugiza vitu online. Ukiagiza unapaswa ulipe kwanza wewe, lakini kinachonishangaza ni kwamba mzigo kuupata unalipa leo siku zaidi ya kumi bado mzigo hujapata. Je kwa anayejua naweza tumia muda gani au ni kwamba nimepigwa?
 
Achana nao hao kikuu mzigo wangu umefika zaidi ya mwezi na hajaniletea...mbaya zaidi hata customer service siku hizi hawanijibu...kwangu mimi hao jamaa ni wezi
 
Habar wana JF!
Naomba kuuliza kwa anayefahamu kuhusu hawa jamaa wa kikuu tz. Ni apk ya kuugiza vitu online. Ukiagiza unapaswa ulipe kwanza wewe lakini kinachonishangaza ni kwamba mzigo kuupata unalipa leo siku zaidi ya kumi bado mzigo hujapata je kwa anaejua naweza tumia muda gani au nikwamba nimepigwa
Niliwahi nunua mzigo kikuu ulitumia mwezi 1 na wiki 1 kufika mahari nilipo.
 
Tatzo watu wengi hawana uelewa na hii app kiukweli hii app ni fursa kubwa sana yan haina tofauti na Uber Taxify kiufup kikuu ni kama middle man kati ya muuzaji na mteja. So kama ilivo kuna Wateja wauni napo China kuna wauzaji wahuni. Kikubwa kabla hujanunua bidhaa jarib kusoma feedback ya Wateja mbali mbali na epuka kununua bidhaa ambayo imenunuliwa na watu mia au hamsini badala yake nenda kweny bidhaa hyo hyo iliyoninuliwa na watu wengi. Hapo lazma Upate comments za watu na pia utaona watu walio rate 5 star baada yakupokea mzigo wangap hapo utapata picha ya mzigo unaouchkua. Kiukwel vitu hvo vimenifanya nisipate changamoto kikuu lakn pia swala la mda nao huwa changamoto but kwaninavojua ikizid sana kikuu huwa mzgo unachkua wiki Tatu na una uwezo waku truck mzigo wako Upo wapi bila kusahau Makao yao makuu hapo shoppers plaza pale njia yakwenda kawe
 
m nmeagza but nashkur mzgo wameutrack na niulzee tu vp n kwel free shipping had naupokea?
 
Kikuu ukilipia ndo wanaagiza china mara nyingi aliexpress, kwa hiyo mzigo wako hadi kufika muda mwingine unatumia mwezi mzima. Wao hawana products ni kama middlemen tu
 
Kumbe hata hujui umeanza na upunguani wako eti upuuzi

State agent
Habar wana JF!
Naomba kuuliza kwa anayefahamu kuhusu hawa jamaa wa kikuu tz. Ni apk ya kuugiza vitu online. Ukiagiza unapaswa ulipe kwanza wewe lakini kinachonishangaza ni kwamba mzigo kuupata unalipa leo siku zaidi ya kumi bado mzigo hujapata je kwa anaejua naweza tumia muda gani au nikwamba nimepigwa
 
m nmeagza but nashkur mzgo wameutrack na niulzee tu vp n kwel free shipping had naupokea?
Mzigo wameutrack ndo nini?..by the way bidhaa zote kikuu ni free shipping zamani ilikua unalipia shipping fee kwa baadhi ya bidhaa lakini siku hizi ni kweli bidhaa zote ni free shipping
 
Habar wana JF!
Naomba kuuliza kwa anayefahamu kuhusu hawa jamaa wa kikuu tz. Ni apk ya kuugiza vitu online. Ukiagiza unapaswa ulipe kwanza wewe lakini kinachonishangaza ni kwamba mzigo kuupata unalipa leo siku zaidi ya kumi bado mzigo hujapata je kwa anaejua naweza tumia muda gani au nikwamba nimepigwa
Kwanza pole kwa experience yako ya kwanza.
Nimetumia sana Huduma za hawa Jamaa kwa hesabu isiyo rasmi nadhani nimenunua bidhaa za zaidi ya 570k kununua viatu, saa, nguo, headphones pamoja na wristbands. Nilichogundua ni hiki:
1. Hawako sure na delivery time na ndo maana wanasema ulipe then wakutumie.
2. Price Fractuation (bei haieleweki?).
Lakini mbaya zaidi ni poor customer service kwenye delivery...
Daah Ila ni heri jumia huyu kikuu ameyumba balaa
 
Back
Top Bottom