App ya Kikuu ni upuuzi mtupu

App ya Kikuu ni upuuzi mtupu

Mzigo wameutrack ndo nini?..by the way bidhaa zote kikuu ni free shipping zamani ilikua unalipia shipping fee kwa baadhi ya bidhaa lakini siku hizi ni kweli bidhaa zote ni free shipping
ahsante kuutrack nilitaka kumaanishaa kuwa wameanzaa kuutuma
 
Miez ya nyuma wamikoan tulikuwa tunalipa na handling fee...now naona wametoa je walioagiza mizigo inafika wale wa mikoan mana isije kuwa ni dar tu........Nimeagiza kamzgo ka buku sita nione kama utafka npo mkoani kanda ya ziwa....
 
Miez ya nyuma wamikoan tulikuwa tunalipa na handling fee...now naona wametoa je walioagiza mizigo inafika wale wa mikoan mana isije kuwa ni dar tu........Nimeagiza kamzgo ka buku sita nione kama utafka npo mkoani kanda ya ziwa....
Yaani kama umeagiza mzigo mdogo au wa bei ndogo wanachelewa balaa mkuu
 
Habar wana JF!
Naomba kuuliza kwa anayefahamu kuhusu hawa jamaa wa kikuu tz. Ni apk ya kuugiza vitu online. Ukiagiza unapaswa ulipe kwanza wewe lakini kinachonishangaza ni kwamba mzigo kuupata unalipa leo siku zaidi ya kumi bado mzigo hujapata je kwa anaejua naweza tumia muda gani au nikwamba nimepigwa
Siku 10 mbona chache sana?
 
Habar wana JF!
Naomba kuuliza kwa anayefahamu kuhusu hawa jamaa wa kikuu tz. Ni apk ya kuugiza vitu online. Ukiagiza unapaswa ulipe kwanza wewe lakini kinachonishangaza ni kwamba mzigo kuupata unalipa leo siku zaidi ya kumi bado mzigo hujapata je kwa anaejua naweza tumia muda gani au nikwamba nimepigwa
Sasa unanunua online ulitaka ukipata ndo uilipe?
Afu ulitaka ukilipa leo upate leo? Mbona kabla ya kulipia wanakuambia tarehe ambayo wanatarajia upate mzigo? sasa unalalamika nini?
By the way mi nimenunua bidhaa nyingi kwa kikuu na zinafika kwa muda waliosema...kinachotakiwa ni subira...
 
Mimi niliagiza IPad Mini 4. Toka mwezi August mwaka huu hadi. Leo. Nimesumbuana nao sana.kwanza wa poor customer care. Ndio wamenijibu wananifanyia utaratibu wa kunicompasate pesa yangu baada ya siku14 zijazo. Sio poa kabisa hawa jamaa
 
muhala.jr,
Mizigo inatoka China, Kuna logistics za kukusanya mizigo, kuisafirisha, clearing, nk ndio maana huchukua muda mrefu
Na kwa kila item unayoshop, jamaa wanakuandikia kabisa estimated time of delivery. Huyu naye kakurupuka tu. Kikuu bidhaa zao sio za ubora kiviiiiile, lakini when it comes to delivery siku zote kwangu wamedeliver on time. In short huo muda wanaoahidi haujawahi kuchelewa, siku zote napata bidhaa yangu siku kumi kabla
 
Samahan jaman Kuna makala mbalimbali nazid kuzisoma znazohusu kikuu wengi wao na wanalalamika ubora wa bidhaa kuwa upo chini yaan n poor quality please mwenye ukwel wa hili maaa nimeagza vitu Kama 50 HiV n saa ya gold Kama 28 HiV ,na sweater 19 HiV na nyngne saa ya buku 9
 
Mzigo wameutrack ndo nini?..by the way bidhaa zote kikuu ni free shipping zamani ilikua unalipia shipping fee kwa baadhi ya bidhaa lakini siku hizi ni kweli bidhaa zote ni free shipping
don't be fooled my dear. There is nothing free, only hidden costs invisible even to your naked eyes!
 
[emoji23][emoji23][emoji23] sema hujajificha uko wazi sanaaa badilisha ID mkuu

Habari wana JF!

Naomba kuuliza kwa anayefahamu kuhusu hawa jamaa wa Kikuu Tanzania. Ni application ya kuugiza vitu online. Ukiagiza unapaswa ulipe kwanza wewe, lakini kinachonishangaza ni kwamba mzigo kuupata unalipa leo siku zaidi ya kumi bado mzigo hujapata. Je kwa anayejua naweza tumia muda gani au ni kwamba nimepigwa?
 
don't be fooled my dear. There is nothing free, only hidden costs invisible even to your naked eyes!
seems that you don't have even a few ideas about online shopping so lemme stop there..i don't have any time for useless arguments witchya only i wanna is preserving my energy by walking away from that shits of useless arguments.
 
seems that you don't have even a few ideas about online shopping so lemme stop there..i don't have any time for useless arguments witchya only i wanna is preserving my energy by walking away from that shits of useless arguments.
sorry for any inconveniences caused.
 
Habari wana JF!

Naomba kuuliza kwa anayefahamu kuhusu hawa jamaa wa Kikuu Tanzania. Ni application ya kuugiza vitu online. Ukiagiza unapaswa ulipe kwanza wewe, lakini kinachonishangaza ni kwamba mzigo kuupata unalipa leo siku zaidi ya kumi bado mzigo hujapata. Je kwa anayejua naweza tumia muda gani au ni kwamba nimepigwa?
Kanunue aliexpress acha ushamba.
 
Mimi nasimana upande wa Kikuu.
Kumbuka kuwa Hawa watu wanaendesha biashara yao kupitia mtandao, na bidhaa zao wanazouza zinatoka moja kwa moja nchini China.

Ukiagiza bidhaa, unapewa time line ya kukufikia ni angalau wiki mbili, lakini inategemeana na wewe ulipo.

Hawa jamaa Wana mawakala wao ambao wako kila wilaya Hapa nchini na lengo lao ni kukufikishia mzigo wako mkononi Tena ukiwa katika ubora Kama jinsi ulivyouagiza.

Mimi hapa ni shuhuda wa Hawa Kikuu, kwani nilishaanunua saa mpya kutoka kwao na mpaka muda huu ninayo na inatumika.

Mzigo niliuagiza ndani ya siku 14 + 5 tu tayari niliitoa mkononi Tena kwa kuletewa na wakala ninapoishi.Siku 14 kutoka China mpaka Dar na siku 5 kufika mkoa nnapoishi.

Mzigo unaagizwa kupitia mtandaoni na unapewa Tracking number ili kuutazama ulipofika, na hii Tracking number inafanya kazi na unapokea mrejesho kila sehemu,mzigo unapofika.

Bidhaa zote zinatoka China,hakuna bidhaa inayotoka hapa Tanzania, kwahiyo uvumilivu wako tu ndo Jambo la msingi.
 
Back
Top Bottom