Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
🤣🤣🤣Yap! [emoji106]
Ila Hawa wake zetu watatupa lini haki yetu na Uhuru wetu wakunyandua wanawake wenzao Kama ilivyo haki yetu ya kiume?
Kwakweli hili Jambo wababa tuende tukalitizame!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Yap! [emoji106]
Ila Hawa wake zetu watatupa lini haki yetu na Uhuru wetu wakunyandua wanawake wenzao Kama ilivyo haki yetu ya kiume?
Kwakweli hili Jambo wababa tuende tukalitizame!
Aaaah!Yes ni kweli... ila kuna wenza wengine wanagubu. Watakuuliza kwanini unaweka password....
Hapa ndo umuhimu wa kinywamwezi kama huu unafanya kazi.
Tunasubiri mrejesho ndugu.Ngoja niijaribu,ntaleta mrejesho
Jipe pole mwenyewe lkn ukweli wapo.Yaani kaba bado unamawzo kuwa Walioathirika na Magonjwa yaliyopo kwenye mawazo yako kuwa wanajisaidiq kwenye pampas, nakupa pole mkuu.
hili halijajibiwaMimi nataka ya kujua sms zake kuna kitu sielewi ila isiwe ya kulipia
😂😂hii ndio solution kama sio basi tutafutiwe app ya kuficha tamaa basiTupe app ya kujificha sisi wenyewe