myyola New Member Joined Jun 15, 2023 Posts 3 Reaction score 1 Jul 13, 2023 #1 Kwanini app ya tigopesa ni nzuri kwasababu ipo security pia ina uwezo kulunch bila Internet (km huna)tofauti na wengine mpaka uwe na bando. Pia unaweza set badala kufungulia password unatumia fingerprint au face id kutokana device yako. Nini maoni yako
Kwanini app ya tigopesa ni nzuri kwasababu ipo security pia ina uwezo kulunch bila Internet (km huna)tofauti na wengine mpaka uwe na bando. Pia unaweza set badala kufungulia password unatumia fingerprint au face id kutokana device yako. Nini maoni yako
Statics JF-Expert Member Joined Dec 29, 2017 Posts 394 Reaction score 1,015 Jul 13, 2023 #2 Mm natumia Mpesa App na ina vyote hivo ulivyotaja . Naweza tumia bila internet , naweza kufungua au kuruhusu muamala kwa kutumia fingerprint pia . Kuna la ziada ?
Mm natumia Mpesa App na ina vyote hivo ulivyotaja . Naweza tumia bila internet , naweza kufungua au kuruhusu muamala kwa kutumia fingerprint pia . Kuna la ziada ?
N nuporo JF-Expert Member Joined Oct 18, 2018 Posts 1,534 Reaction score 3,387 Jul 13, 2023 #3 Ungesema Airtel app ningekubali lakini sio kwa Tigo.. Togo wameiga vingi kutoka Vodacom katika upande wa App
Ungesema Airtel app ningekubali lakini sio kwa Tigo.. Togo wameiga vingi kutoka Vodacom katika upande wa App
Watchtower Member Joined Sep 18, 2022 Posts 93 Reaction score 182 Jul 18, 2023 #4 Mimi natumia Vodacom na iko supersana
shatisuruali JF-Expert Member Joined Jul 28, 2016 Posts 921 Reaction score 2,842 May 15, 2024 #5 Noma sana
Baba Swalehe JF-Expert Member Joined Jun 6, 2017 Posts 20,178 Reaction score 39,641 May 15, 2024 #6 Tigo hii hii mkuu au nmeelewa vibaya
N nguvu JF-Expert Member Joined Jun 13, 2013 Posts 22,976 Reaction score 22,564 May 16, 2024 #7 Watchtower said: Mimi natumia Vodacom na iko supersana Click to expand... Mi natumia ya Airtel na sijawahi kujutia
Watchtower said: Mimi natumia Vodacom na iko supersana Click to expand... Mi natumia ya Airtel na sijawahi kujutia