MTU MAKINI SANA
Member
- Sep 12, 2024
- 46
- 79
Mpaka gani boss na ni biashara gani?Kama mtu wa kunikopesha yupo aje tu nataka kwenda kufanya biashara mpakani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka gani boss na ni biashara gani?Kama mtu wa kunikopesha yupo aje tu nataka kwenda kufanya biashara mpakani
Napeleka nguo tu kule nyasa yani upande wa Malawi au Zambia. Kuanzia Lugarawa hukoMpaka gani boss na ni biashara gani?
Soko lake ni uhakika?Napeleka nguo tu kule nyasa yani upande wa Malawi au Zambia. Kuanzia Lugarawa huko
Nilisikia mwaka juzi hii issue,hebu fafanua mkuuHizo App zilikuwa zinatakatisha PESA so Kazi imeisha
Yaani watz ambavyo huwa hatulipi madeni tukopeshwe online🤗🤗
Uhakika mkuu na mwenyeji tunaye humuhumuSoko lake ni uhakika?
Ni nani huyo?Uhakika mkuu na mwenyeji tunaye humuhumu
Nakutumia jina lake inbox. Una mtaji mkuu tukapige kazi kule?Ni nani huyo?
Kuna tafiti flani nafanya nataka kujichomeka kwenye supply chain ya bidhaa kutoka Tz kwenda pande hizoNakutumia jina lake inbox. Una mtaji mkuu tukapige kazi kule?
Kule biashara ipo mzee mchawi commitment tu. Mm pamoja na digrii yangu napatamani San huko nimeandaa mkakat flani hiv wa kuombea mtaji mahala mwaka huu mwez wa 11/2 nasepa hukoKuna tafiti flani nafanya nataka kujichomeka kwenye supply chain ya bidhaa kutoka Tz kwenda pande hizo
Electronic au vifaa ganKuna tafiti flani nafanya nataka kujichomeka kwenye supply chain ya bidhaa kutoka Tz kwenda pande hizo
Hii nilidanlod muda si mrefu ikakataa kunipa hela mana tulilipana kwa mbinde. Naona wahusika nilivyosema iko active wakamalizana nayo muda huu
Service type businessElectronic au vifaa gan
UkaogopaWale jamaa wana ukatili ndani yao kwa asilimia flani
Kuna jamaa angu alikopa kama laki na nusu bhana, weeh si akaanza kutumiwa texts kwamba mkuu wao ni freemason wa nigeria huko ukieendelea kujifanya mgumu hutaki kurudisha hizo hela tutaanza na ndugu zako hadi wewe apo.......
Binafsi niliogopa kinomaa daaah
We jamaa yaani unatishiwa kila siku mkuu halafu mfano wa vitisho ni je, umewahi rogwa??Ukaogopa
Kwenye sms? 😂We jamaa yaani unatishiwa kila siku mkuu halafu mfano wa vitisho ni je, umewahi rogwa??