App zetu za mikopo umiza mmezifanya nini tena wazee?

Kuna tafiti flani nafanya nataka kujichomeka kwenye supply chain ya bidhaa kutoka Tz kwenda pande hizo
Kule biashara ipo mzee mchawi commitment tu. Mm pamoja na digrii yangu napatamani San huko nimeandaa mkakat flani hiv wa kuombea mtaji mahala mwaka huu mwez wa 11/2 nasepa huko
 
Ukaogopa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…