App zinazotoa mikopo mitandaoni zina riba kubwa sana, ukichelewa rejesho wanatuma SMS kwa namba zote ulizowasiliana nazo

App zinazotoa mikopo mitandaoni zina riba kubwa sana, ukichelewa rejesho wanatuma SMS kwa namba zote ulizowasiliana nazo

Hanceog

New Member
Joined
Mar 16, 2018
Posts
1
Reaction score
11
Kuna app za mikopo mitandao wanatoa mikopo kwa riba kubwa sana na ikitokea umechelewa kuwalipa kwa muda wanawatumia SMS namba zote unazowasiliana nazo na kuwaambia umekopa na kuwaweka wao mdhamana.

Je kisheria ipo sawa hiyo kudukuliwa mawasiliano yako. Moja ya hizo app ni PESA M LOAN. Tunaomba kujua je wapo sahihi kudukua namba za mawasiliano na phonebook ya mteja wao.

Screenshot_20240115-100215_One%20UI%20Home.jpg


Pia soma=> Gerson Msigwa: Tozo kwenye Miamala ya kutoa pesa bado ipo
 
Kuna app za mikopo mitandao wanatoa mikopo kwa riba kubwa sana na ikitokea umechelewa kuwalipa kwa muda wanawatumia SMS namba zote unazowasiliana nazo na kuwaambia umekopa na kuwaweka wao mdhamana.

Je kisheria ipo sawa hiyo kudukuliwa mawasiliano yako. Moja ya hizo app ni PESA M LOAN. Tunaomba kujua je wapo sahihi kudukua namba za mawasiliano na phonebook ya mteja wao.

View attachment 2872358


Kwenye terms and conditions uliwapa access kwa hiyari, app ikabeba file lote.
 
Naomba kujua kama kuna aliyewahi kupata mkopo kupitia Pesa X.

Naona kama wanakusanya taarifa zetu, wanapoomba vitambulisho, namba za Mawasiliano halafu mwisho wa siku hupati mkopo.

Mamlaka zinataarifa na hizo app!?
Screenshot_20240117-094133.jpg
 
Back
Top Bottom