App zinazotoa mikopo mitandaoni zina riba kubwa sana, ukichelewa rejesho wanatuma SMS kwa namba zote ulizowasiliana nazo

App zinazotoa mikopo mitandaoni zina riba kubwa sana, ukichelewa rejesho wanatuma SMS kwa namba zote ulizowasiliana nazo

Kuna app za mikopo mitandao wanatoa mikopo kwa riba kubwa sana na ikitokea umechelewa kuwalipa kwa muda wanawatumia SMS namba zote unazowasiliana nazo na kuwaambia umekopa na kuwaweka wao mdhamana.

Je kisheria ipo sawa hiyo kudukuliwa mawasiliano yako. Moja ya hizo app ni PESA M LOAN. Tunaomba kujua je wapo sahihi kudukua namba za mawasiliano na phonebook ya mteja wao.

View attachment 2872358
Daaaaa hawa wapumbavu Pesamloan jana wamenitumia sms kuna mpuuzi kakopa huko wanamdai. Wanapataje namba zetu ndio swali?
 
Wanaedit picha zako wanatengeneza video ya ngono wanatuma kwa contacts zako zote
Wahindi wanajiua mno
Unapigwa miti vibaya kwenye hyo video uwe me uwe ke
Wanafanya hivyo ukishindwa kuwalipa au ukichelewesha marejesho?
 
mkopo wa kwanza wanaweza kukopesha kiasi gani.... nataka nijaribu kupata mzigo wa kutosha... wasijekua kama branch unaanza na elfu 5
 
Saa 6 unasikia tiruuuuuu.......Ka mlio ka meseji unaenda kuangalia unakutana na hii;

NDG........TUNAKUOMBA ULIPE DENI LAKO ULILOKOPA TAREHE........UNAJIFANYA MJANJA KUTUKWEPA LAKINI TUNAKUHAKIKISHIA HIVI SASA HUNA PA KUKIMBILIA MAANA TUMEKODI MAKOMANDO 13 KUTOKA CUBA NA ISRAEL WATAKAOKUSAKA KILA KONA, TUMEKODI WADUNGUAJI 6 KUTOKA SOMALIA, TUNAO MANINJA 11 KUTOKA JAPAN NA KIKOSI KAZI CHA WANAJESHI 9 WANAMAJI KUTOKA NAVY SEAL MAREKANI, URUSI IMETUPA WANAJESHI WANNE KIKOSI CHA ANGA NA VIETNAM IMETOA BATALION 2 JESHI LA ASKARI WA MIGUU

NB; LIPA HELA YETU BOYA WEWE
 
NARUDIA iwe PESA ONE, XPESA, SIJUWI UJINGA GANI.
MSIJARIBU, MTAJUTA.....
Kwanza hupewi hela utakayo! Tuseme umeomba 100,000/-, kwanza wanakata hiyo laki unatumiwa 50 au 55! Kisingizio sijuwi administration cost!
Lakini utatakiwa kulipa laki na riba juu!
UTAPELI WA KUFA MTU!
TUNAWAONYA WANA JF, MSIJARIBU KUSHUSHA HIZO APP NA KUOMBA MKOPO
 
Wakati unakopa, ulikubaliana na ‘Terms and Comditions’ zao?
 
Saa 6 unasikia tiruuuuuu.......Ka mlio ka meseji unaenda kuangalia unakutana na hii;

NDG........TUNAKUOMBA ULIPE DENI LAKO ULILOKOPA TAREHE........UNAJIFANYA MJANJA KUTUKWEPA LAKINI TUNAKUHAKIKISHIA HIVI SASA HUNA PA KUKIMBILIA MAANA TUMEKODI MAKOMANDO 13 KUTOKA CUBA NA ISRAEL WATAKAOKUSAKA KILA KONA, TUMEKODI WADUNGUAJI 6 KUTOKA SOMALIA, TUNAO MANINJA 11 KUTOKA JAPAN NA KIKOSI KAZI CHA WANAJESHI 9 WANAMAJI KUTOKA NAVY SEAL MAREKANI, URUSI IMETUPA WANAJESHI WANNE KIKOSI CHA ANGA NA VIETNAM IMETOA BATALION 2 JESHI LA ASKARI WA MIGUU

NB; LIPA HELA YETU BOYA WEWE
Utaita maji mma
 
Saa 6 unasikia tiruuuuuu.......Ka mlio ka meseji unaenda kuangalia unakutana na hii;

NDG........TUNAKUOMBA ULIPE DENI LAKO ULILOKOPA TAREHE........UNAJIFANYA MJANJA KUTUKWEPA LAKINI TUNAKUHAKIKISHIA HIVI SASA HUNA PA KUKIMBILIA MAANA TUMEKODI MAKOMANDO 13 KUTOKA CUBA NA ISRAEL WATAKAOKUSAKA KILA KONA, TUMEKODI WADUNGUAJI 6 KUTOKA SOMALIA, TUNAO MANINJA 11 KUTOKA JAPAN NA KIKOSI KAZI CHA WANAJESHI 9 WANAMAJI KUTOKA NAVY SEAL MAREKANI, URUSI IMETUPA WANAJESHI WANNE KIKOSI CHA ANGA NA VIETNAM IMETOA BATALION 2 JESHI LA ASKARI WA MIGUU

NB; LIPA HELA YETU BOYA WEWE
Woiiiii
Nimecheka sanaaa

Mdogo angu kakopa huko, wamedukua namba ya mume wake wakatuma msg ya kumdai pesa

Shemeji anataka kujua pesa imeenda wapi na kwanini dogo kakopa bila kumtaarifu

Aisee hizi application za kuzikimbia ntakomaa na MGODI tu wa vodacom
 
Wanaedit picha zako wanatengeneza video ya ngono wanatuma kwa contacts zako zote
Wahindi wanajiua mno
Unapigwa miti vibaya kwenye hyo video uwe me uwe ke
Duuuh! kwakweli wanakosea kama ni hivyo
 
Back
Top Bottom