Mnyatiaji
JF-Expert Member
- Dec 13, 2018
- 3,728
- 4,817
😂😂😂unapigwa mitiWanaedit picha zako wanatengeneza video ya ngono wanatuma kwa contacts zako zote
Wahindi wanajiua mno
Unapigwa miti vibaya kwenye hyo video uwe me uwe ke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂unapigwa mitiWanaedit picha zako wanatengeneza video ya ngono wanatuma kwa contacts zako zote
Wahindi wanajiua mno
Unapigwa miti vibaya kwenye hyo video uwe me uwe ke
Daaaaa hawa wapumbavu Pesamloan jana wamenitumia sms kuna mpuuzi kakopa huko wanamdai. Wanapataje namba zetu ndio swali?Kuna app za mikopo mitandao wanatoa mikopo kwa riba kubwa sana na ikitokea umechelewa kuwalipa kwa muda wanawatumia SMS namba zote unazowasiliana nazo na kuwaambia umekopa na kuwaweka wao mdhamana.
Je kisheria ipo sawa hiyo kudukuliwa mawasiliano yako. Moja ya hizo app ni PESA M LOAN. Tunaomba kujua je wapo sahihi kudukua namba za mawasiliano na phonebook ya mteja wao.
View attachment 2872358
Shubutuuu, nadhani ni 50% 😄Xpesa? Mbona wanatangaza riba asilimia 0.5?
Wanafanya hivyo ukishindwa kuwalipa au ukichelewesha marejesho?Wanaedit picha zako wanatengeneza video ya ngono wanatuma kwa contacts zako zote
Wahindi wanajiua mno
Unapigwa miti vibaya kwenye hyo video uwe me uwe ke
Zaidi ya 50% mkuu! Nakuomba sana sana USIJARIBU, UTAJUTA MWAMBAXpesa? Mbona wanatangaza riba asilimia 0.5?
Vyote .wapuuzi kweliWanafanya hivyo ukishindwa kuwalipa au ukichelewesha marejesho?
Duh hiyo ni zaidi ya nomaVyote .wapuuzi kweli
Utaita maji mmaSaa 6 unasikia tiruuuuuu.......Ka mlio ka meseji unaenda kuangalia unakutana na hii;
NDG........TUNAKUOMBA ULIPE DENI LAKO ULILOKOPA TAREHE........UNAJIFANYA MJANJA KUTUKWEPA LAKINI TUNAKUHAKIKISHIA HIVI SASA HUNA PA KUKIMBILIA MAANA TUMEKODI MAKOMANDO 13 KUTOKA CUBA NA ISRAEL WATAKAOKUSAKA KILA KONA, TUMEKODI WADUNGUAJI 6 KUTOKA SOMALIA, TUNAO MANINJA 11 KUTOKA JAPAN NA KIKOSI KAZI CHA WANAJESHI 9 WANAMAJI KUTOKA NAVY SEAL MAREKANI, URUSI IMETUPA WANAJESHI WANNE KIKOSI CHA ANGA NA VIETNAM IMETOA BATALION 2 JESHI LA ASKARI WA MIGUU
NB; LIPA HELA YETU BOYA WEWE
WoiiiiiSaa 6 unasikia tiruuuuuu.......Ka mlio ka meseji unaenda kuangalia unakutana na hii;
NDG........TUNAKUOMBA ULIPE DENI LAKO ULILOKOPA TAREHE........UNAJIFANYA MJANJA KUTUKWEPA LAKINI TUNAKUHAKIKISHIA HIVI SASA HUNA PA KUKIMBILIA MAANA TUMEKODI MAKOMANDO 13 KUTOKA CUBA NA ISRAEL WATAKAOKUSAKA KILA KONA, TUMEKODI WADUNGUAJI 6 KUTOKA SOMALIA, TUNAO MANINJA 11 KUTOKA JAPAN NA KIKOSI KAZI CHA WANAJESHI 9 WANAMAJI KUTOKA NAVY SEAL MAREKANI, URUSI IMETUPA WANAJESHI WANNE KIKOSI CHA ANGA NA VIETNAM IMETOA BATALION 2 JESHI LA ASKARI WA MIGUU
NB; LIPA HELA YETU BOYA WEWE
hili lilikukuta bibieWanaedit picha zako wanatengeneza video ya ngono wanatuma kwa contacts zako zote
Wahindi wanajiua mno
Unapigwa miti vibaya kwenye hyo video uwe me uwe ke
Duuuh! kwakweli wanakosea kama ni hivyoWanaedit picha zako wanatengeneza video ya ngono wanatuma kwa contacts zako zote
Wahindi wanajiua mno
Unapigwa miti vibaya kwenye hyo video uwe me uwe ke
Kaka ni kisanga ata usijarbNaomba kujua kama kuna aliyewahi kupata mkopo kupitia Pesa X.
Naona kama wanakusanya taarifa zetu, wanapoomba vitambulisho, namba za Mawasiliano halafu mwisho wa siku hupati mkopo.
Mamlaka zinataarifa na hizo app!?
View attachment 2874286
Jichanganye uone.nchi zingine watu wamejiua balaaDuh hiyo ni zaidi ya noma