Hao hata uki unstall bado wana access mawasiliano yako!Nenda settings, iondolee ruhusa ya ku-access vitu usivyopenda ipate kwenye simu yako.
Ushawahi kuwakopa na kuona riba yao?Xpesa? Mbona wanatangaza riba asilimia 0.5?
Hujamuelewa alichosemaHao hata uki unstall bado wana access mawasiliano yako!
Hapana, naona matangazo Yao tuUshawahi kuwakopa na kuona riba yao?
Kuna app za mikopo mitandao wanatoa mikopo kwa riba kubwa sana na ikitokea umechelewa kuwalipa kwa muda wanawatumia SMS namba zote unazowasiliana nazo na kuwaambia umekopa na kuwaweka wao mdhamana.
Je kisheria ipo sawa hiyo kudukuliwa mawasiliano yako. Moja ya hizo app ni PESA M LOAN. Tunaomba kujua je wapo sahihi kudukua namba za mawasiliano na phonebook ya mteja wao.
View attachment 2872358
AlaaWanaedit picha zako wanatengeneza video ya ngono wanatuma kwa contacts zako zote
Wahindi wanajiua mno
Unapigwa miti vibaya kwenye hyo video uwe me uwe ke
DuuuhWanaedit picha zako wanatengeneza video ya ngono wanatuma kwa contacts zako zote
Wahindi wanajiua mno
Unapigwa miti vibaya kwenye hyo video uwe me uwe ke
Aahaaaaa, yanatoa pesa kumbe!? [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]Sisi wengine tulishajimaliza huko kitambo. Hapa zinatumwa msg na kupigwa simu kama help center ya Voda.