Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haijaharibika wewe, inanunuliwa latest sababu yenye iko matumizi yake kwa viwanja vya ndege vya gazi ya juu unakamilika karibuni, hiyo ni upgrade tu mkuu. Alafu kuwa unasoma vizuri! 🤣Sasa kama Traffic control System imeharibika wewe unadhani ipi inatumika? Think of proximity! Maana najua Kisumu airport haina Radar!
![]()
Wewe rudi shule, JKIA ikose air traffic control system, duh kiingereza shida naona!Aawapii! Mnatumia ya KIA!
Hebu angalia sababu za kwanini watalii hutumia JKIA kwenda Tanzania, yaani hawa jamaa hdi aibu Mkurugenzi wa Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere, Kwanini usijiuzulu?Ni wapi kwenye hio report ambapo pameandikwa kwamba Jkia haina air traffic control system na kwamba tunategemea ya Kilimanjaro? Onyesha wazi wazi imeandikwa wapi.
Hawa watu ni wa kuonewa huruma tu. Sasa kuoperate uwanja wa ndege pia kumewashinda. Sasa wanaweza nini hawa?Hebu angalia sababu za kwanini watalii hutumia JKIA kwenda Tanzania, yaani hawa jamaa hdi aibu Mkurugenzi wa Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere, Kwanini usijiuzulu?