Nairobi Gossip Club
JF-Expert Member
- Sep 25, 2021
- 503
- 432
Generally Kenya is still richer than Tanzania.nairobi only can match the whole tanganyikaHuwezi amini huyu Kirubi wa kelele mingi za Wakunya alikuwa size ya late Mufuruki!
Confirmed: Tanzania’s dollar millionaire Ali Mufuruki succumbed to Pneumonia
Tanzania’s dollar millionaire, who passed on on Saturday night, succumbed to pneumonia, a family friend said on Sunday, December 08, 2019.www.thecitizen.co.tz
Taja jina ya Mkenya aliyesema kwamba huyu alikuwa the richest Kenyan. Mtaje. Vimal Shah unamjua? Uhuru Kenyatta umemsikia? Forbes magazine yenyewe inawataja Vimal Shah na Uhuru Kenyatta kama matajiri kushinda huyu jamaa wako.Sasa kama huyu ndo mlikuwa mnatamba nae humu ndani anakufa na court inasema (declare) he worths $200 mln n he was the richest man in the whole of Kunyaland, una cha kuongea tukisema mnapendaga ku-exaggerate mambo! HapHapo Kunyaland kuna individual mwenye $500 mln?
Mo mamake ni muarabu, babake pia ni muarabu. Wacha uongo wewe.MO ni Tanzanian tena kazaliwa bongo na mama yake ni mnyiramba kutokea singida
Vyovyote vile, lakini gharama ya magari yake haiendani na pesa zake. Wakenya ni watu wa kujisifia na kujikweza sana
General inakusaidia nini Kama bado unaishi kwa slums, unemployed, majority of you go to beds hungry?GDP ni general while billionaire is just one individual .fool!
Hata Kirubi mlidai US$ billionaire!Generally Kenya is still richer than Tanzania.nairobi only can match the whole tanganyika
Kwani raia wa Tanzania lazima awe "black", Mo wazazi wake wamezaliwa Tanzania, ni raia wa Tanzania kwa kuzaliwa, huo ubaguzi wenu ndio unaosababisha kubagua kwa misingi ya ukabilaMo mamake ni muarabu, babake pia ni muarabu. Wacha uongo wewe.
wanaweza kukubishia kila kitu!MO ni Tanzanian tena kazaliwa bongo na mama yake ni mnyiramba kutokea singida
Kama kawaida yenu, media zenu na viongozi wenu waliwadanganya kwa muda mrefu, Sasa hivi ukweli ndio umeanza kujulikana, Tanzania has more than 5K $Millionaires while Kenya has only above 2K.Generally Kenya is still richer than Tanzania.nairobi only can match the whole tanganyika
okay give me any Tanzanian article which says Tanzania is richer than Kenya economicallyKama kawaida yenu, media zenu na viongozi wenu waliwadanganya kwa muda mrefu, Sasa hivi ukweli ndio umeanza kujulikana, Tanzania has more than 5K $Millionaires while Kenya has only above 2K.
We chizi unajua kuwa marehem Mengi alikuw rich twice ya iyo senti apo...500+ml usd...nyie nigukaraa mnaojipiga kifuaMost importantly, he is black. Secondly, this shows an equitable distribution of wealth - sio hapo kwenu wahindi na waarabu mabilionea wakati mwananchi mweusi ni fukara.
Mtu yupo zaidi ya generation ya tano hapa Tanzania! Halafu walivyo wajinga wanadai ana asili ya Uarabu! Mo Dewji asili yake ni Gujarat!Kwani raia wa Tanzania lazima awe "black", Mo wazazi wake wamezaliwa Tanzania, ni raia wa Tanzania kwa kuzaliwa, huo ubaguzi wenu ndio unaosababisha kubagua kwa misingi ya ukabila
This comment man, I felt it😂🤣..JF never fails to impress me..Wewe ndio mjinga sababu wazee wenzako wakitengeneza mihela wewe unakesha humu kuwashabikia na hata hawakujuhi.halafu moh ni Indian not even African