Apple kawashinda Xiomk, Oppo na Vivo kwenye uwanja wa nyumbani

Apple kawashinda Xiomk, Oppo na Vivo kwenye uwanja wa nyumbani

Nafaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
12,154
Reaction score
31,246
Kwakweli Apple na product yake ya iPhone ni kama vile ni unstoppable, iPhone 13 imefanya vizuri sana na kuirudisha apple kwenye nafasi ya 1 kwa mauzo na mapato nchini China.
Kama mnakumbuka kuna kipindi ilifanyika kampeni ya kushusha mauzo ya iPhone China ili kupandisha mauzo ya simu zinazotengenezwa huko, na kweli ilifankiwa lakini sasa meza zimegeuka.
Samsung haijawahi fanya vizuri China hivyo hiyo hata tusiizungumzie.
Kuna jamaa alisema
APPLE invented this amazing product called the iPhone and then built many services around it to make more money
 
Kwakweli Apple na product yake ya iPhone ni kama vile ni unstoppable, iPhone 13 imefanya vizuri sana na kuirudisha apple kwenye nafasi ya 1 kwa mauzo na mapato nchini China.
Kama mnakumbuka kuna kipindi ilifanyika kampeni ya kushusha mauzo ya iPhone China ili kupandisha mauzo ya simu zinazotengenezwa huko, na kweli ilifankiwa lakini sasa meza zimegeuka.
Samsung haijawahi fanya vizuri China hivyo hiyo hata tusiizungumzie.
Kuna jamaa alisema
APPLE invented this amazing product called the iPhone and then built many services around it to make more money
Mkuu hivi hiyo kampeni ya kushusha mauzo ya iphone yaliyanyika katika njia ipi?
 
Mkuu hivi hiyo kampeni ya kushusha mauzo ya iphone yaliyanyika katika njia ipi?
Ilikuwa some sort of marketing technique ambayo design ilikuwa backed na serikali ambapo viongozi wa serikali walikuwa wakiappear wakiwa na simu za Huawei, walifanikiwa kuiganya huawei kuwa premium brand kwa watu na mauzo yaliongezeka sana China iPhone mauzo yake yalianguka ukijumlisha na vita ya kiuchumi inayoendelea baina ya US na China
 
Ilikuwa some sort of marketing technique ambayo design ilikuwa backed na serikali ambapo viongozi wa serikali walikuwa wakiappear wakiwa na simu za Huawei, walifanikiwa kuiganya huawei kuwa premium brand kwa watu na mauzo yaliongezeka sana China iPhone mauzo yake yalianguka ukijumlisha na vita ya kiuchumi inayoendelea baina ya US na China
Labda kama sijakuelewa mkuu ila me sioni kama hiyo campaign inaweza kufanya mauzo ya iphone yapungue kisa Wafanyakazi wa government kutumia Huawei

Na kama kumbukumbu zangu ziko vizuri wakati mauzo ya iphone yanashiuka ni Xiaomi ndio aliongoza sa Kwanini isiwe Huawei kama wao ndio waliungana na government kuandaa campaign

Me nachoona ni kwamba upinzani umeongezeka kutokana na simu za kichina kuwekeza zaidi katika simu za midrange zenye ubora Mkubwa sana, maana uwezo wa wateja wengi wa simu ni midrange na sio Flagship
 
Labda kama sijakuelewa mkuu ila me sioni kama hiyo campaign inaweza kufanya mauzo ya iphone yapungue kisa Wafanyakazi wa government kutumia Huawei

Na kama kumbukumbu zangu ziko vizuri wakati mauzo ya iphone yanashiuka ni Xiaomi ndio aliongoza sa Kwanini isiwe Huawei kama wao ndio waliungana na government kuandaa campaign

Me nachoona ni kwamba upinzani umeongezeka kutokana na simu za kichina kuwekeza zaidi katika simu za midrange zenye ubora Mkubwa sana, maana uwezo wa wateja wengi wa simu ni midrange na sio Flagship
Ilikuwa marketing stratergy ya kuipandisha chinese brand. Watu hawanunui vitu kwasababu ni bora, wananunua vitu nao wajione they belong to a certain social class
 
Ilikuwa marketing stratergy ya kuipandisha chinese brand. Watu hawanunui vitu kwasababu ni bora, wananunua vitu nao wajione they belong to a certain social class
Mkuu hivi wewe unaishi na wafanyakazi wa serikali wangapi katika mazingira yanayokuzunguka?

Kwa uelewa wangu mdogo wafanyakazi wa Government hawawezi kuzidi ata 10% ya country population, Kwahiyo ni ngumu sana Kwa wao kufanya Eti raia washawishike kununua simu wanazotumia wao

Na wafanyakazi wa serikali ndio wanaongoza Kwa kuchukuliwa poa kuanzia kwenye life style zao Hadi vitu wanavyomiliki, Kwahiyo ata kama ilikuwa campaign ila nahisi haikufanikiwa
 
Mkuu hivi wewe unaishi na wafanyakazi wa serikali wangapi katika mazingira yanayokuzunguka?

Kwa uelewa wangu mdogo wafanyakazi wa Government hawawezi kuzidi ata 10% ya country population, Kwahiyo ni ngumu sana Kwa wao kufanya Eti raia washawishike kununua simu wanazotumia wao

Na wafanyakazi wa serikali ndio wanaongoza Kwa kuchukuliwa poa kuanzia kwenye life style zao Hadi vitu wanavyomiliki, Kwahiyo ata kama ilikuwa campaign ila nahisi haikufanikiwa
China ni tofauti na sisi, serikali yao ina influence kwa maisha ya watu kuliko sisi.
Haikuwa kwa wafanyakazi tu wa serikali, ilienda mpaka kwa watu influencial kama wafanyabiashara wakubwa walitaka tengeneza picha ya kwamba huawei ni simu ya status flani kwenye akili ya watu.
You can go online and read about it.
And it seems that it worked. Baada ya Huawei kuanguka kutokana na vikwazo, xiomi ikawa kama apple ya china lakini mwaka huu apple imegeuza meza
 
Back
Top Bottom