Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Nilianza na HTC, nikaja Samsung, Nikaja Tecno C 8 na phantom 6, sasa hivi ninamiliki OPPOSimu yako ya kwanza kumiliki ilikua simu Gani mkuu? Maana unaonekana ni kijana sana kusema hiyo kauli
Shamesung wanakujaNgoja samsheep waje kuleta vita... jiandae
Shamesung wanakuja
Sio mbaya mkuu, umepita pita sehemu kadhaa ila inaonekana Samsung uliyomiliki kitambo hicho ilikuwa ya kawaida ndomana ata ukaweza kuacha Samsung na kwenda kwenye Tecno tena za budget kubwa ilhali ni utumbo mtupuNilianza na HTC, nikaja Samsung, Nikaja Tecno C 8 na phantom 6, sasa hivi ninamiliki OPPO
Samsung hawajanishawishi kwenye ubora wa vioo vya simu.Sio mbaya mkuu, umepita pita sehemu kadhaa ila inaonekana Samsung uliyomiliki kitambo hicho ilikuwa ya kawaida ndomana ata ukaweza kuacha Samsung na kwenda kwenye Tecno tena za budget kubwa ilhali ni utumbo mtupu
Tukija kwenye ukweli na uhalisia ni kwamba Kwa simu za Android, Samsung ndio kiboko yao ila itategemea na budget yako maana na wao Wana simu za ajabu ajabu siku hizi ilmradi na wale watumiaji wa uwezo wa Tecno na Infinix nawao wapateYao
ila ukija kwenye kupata simu Bora za Android Kwa budget nzuri kuanzia laki 3-6 basi hakuna ambae atazikuta Xiaomi na Oppo, Hawa jamaa ni hatari sana Kwa midrange smartphone, Kisha unawaweka ndugu zao vivo na realme
Mkuu umemiliki Samsung siku nyingi sana ndomana hujui jamaa kama wamechange, na kuhusu ubora wa kioo unawakosea sana Samsung maana Kwa android hakuna anaemzidi ubora wa kioo SamsungSamsung hawajanishawishi kwenye ubora wa vioo vya simu.
Na kioo cha simu kikiharibika huwa wana gharama kubwa sana kuweka kingine kuliko hata thamani halisi ya kioo.
Pia Samsung hawajanishawishi uimara wa Betrii, tena mara ya mwisho nilikuwa na Samsung Galaxy S10 lakini hakuna hata nilichoona kuhusu ubora wa betrii.
OPPO QUALIFICATIONS:
Best charging system,
Battery stability with charges,
HD camera and videos, Networking accessibility, Screen display hardness etc.
Long live OPPO smart phone...[emoji847]
Mwisho wa siku hata ikiwa Samsung mpya bado nitaichoka tu, endelea kumiliki Samsung yako, nami niendelee kumiliki OPPO yangu(kupanga ni kuchagua)Mkuu umemiliki Samsung siku nyingi sana ndomana hujui jamaa kama wamechange, na kuhusu ubora wa kioo unawakosea sana Samsung maana Kwa android hakuna anaemzidi ubora wa kioo Samsung
Inaonekana we una judge ubora kioo Cha oppo toleo la sasa dhidi ya galaxy s 10 ya miaka hiyo, ila kinachonishangaza ni kutoka Samsung na kwenda Tecno na kuridhika na Yale mavioo Yao ya kupauka na ukaridhika na kuongeza tena tecno lingine ni wazi ulichelewa sana kujua simu nzuri ndugu yangu
Kuhusu charge pia Bado unaongelea Samsung za zamani, haya matoleo Yote ya A,M note series Yana battery iliyo vizuri sana, siku hizi ata watumiaji wa simu za Samsung unakuta wanapeta na battery yenye 5000mph
Samsung waligundua wanapoteza wateja wengi wa simu Kwakuwa simu zao ni ghari sana na wana tatizo la charge, kuanzia hapo wakatwist wakaleta simu za bei Chee na kuongeza ubora wa battery, kuhusu kioo hao ndio wanaongoza, kuhusu camera ni simu chache sana zinaikimbiza Samsung inategemea unalinganisha simu zipi
Unachotakiwa kujua ni kwamba Samsung wanakupa simu kulingana na mfuko wako, ndomana me pia napenda Xiaomi na oppo maana Hawa wanakupa ubora Mzuri kwenye pesa kidogo
Mkuu me situmii Samsung, natumia Xiaomi note 10 ila siwezi kuidhihaki Samsung maana najua ubora wao, wewe ulitumia Samsung zamaniMwisho wa siku hata ikiwa Samsung mpya bado nitaichoka tu, endelea kumiliki Samsung yako, nami niendelee kumiliki OPPO yangu(kupanga ni kuchagua)
Mwisho wa siku kimfaacho Mtu yeyote kipo ktk mtazamo wake ye mwenyeweMkuu me situmii Samsung, natumia Xiaomi note 10 ila siwezi kuidhihaki Samsung maana najua ubora wao, wewe ulitumia Samsung zamani
sijui unatumia Oppo ipi naaamini Haina uwezo wa kuikalisha Samsung midrange kama A32,A51 na kama hutojali nijuze unatumia Oppo ipi ili tudiscuss kikubwa
Pamoja MkuuMwisho wa siku kimfaacho Mtu yeyote kipo ktk mtazamo wake ye mwenyewe
Samsung na LG ni balaa katika technology ya vioo na memory devices.Mwisho wa siku hata ikiwa Samsung mpya bado nitaichoka tu, endelea kumiliki Samsung yako, nami niendelee kumiliki OPPO yangu(kupanga ni kuchagua)
Amoled ya device ya samsung ni habari ingineSamsung na LG ni balaa katika technology ya vioo na memory devices.
Hata iPhone mara nyingi vioo vyake anavitengeneza samsung
Ulitaka kioo cha Super Amoled uuziwe 10k?Samsung hawajanishawishi kwenye ubora wa vioo vya simu.
Na kioo cha simu kikiharibika huwa wana gharama kubwa sana kuweka kingine kuliko hata thamani halisi ya kioo.
Pia Samsung hawajanishawishi uimara wa Betrii, tena mara ya mwisho nilikuwa na Samsung Galaxy S10 lakini hakuna hata nilichoona kuhusu ubora wa betrii.
OPPO QUALIFICATIONS:
Best charging system,
Battery stability with charges,
HD camera and videos, Networking accessibility, Screen display hardness etc.
Long live OPPO smart phone...[emoji847]
Hili povu siyo bure, bila shaka nilikuwa nimekugonga kwenye mshono.Ulitaka kioo cha Super Amoled uuziwe 10k?
Oppo hana kinachomshinda Samsung.
Ulinunua refub za makumbusho ambazo kila simu ni mbovu in default.
umeelezwa ukweli unaita mshono.Hili povu siyo bure, bila shaka nilikuwa nimekugonga kwenye mshono.
Ukweli wako siyo sheria kwangu, na kupanga ni kuchagua, tusipangiane matumizi ya pesa na kila Mtu ana uhuru kununua kipenda roho.umeelezwa ukweli unaita mshono.
hata ukinunua s3 leo hii,utagundua ina kioo cha kiwango cha juu sana,miaka 7 toka itoke.
ruhusu pesa ikuamulie cha kutumia,usifungwe na uhuru wakati wote.Ukweli wako siyo sheria kwangu, na kupanga ni kuchagua, tusipangiane matumizi ya pesa na kila Mtu ana uhuru kununua kipenda roho.
We wasemaruhusu pesa ikuamulie cha kutumia,usifungwe na uhuru wakati wote.
Mkuu, huku Tanzania tunauziwa sana refurb phone kwa kudanganywa kuwa ni mpya, na kitu kikubwa kinachosumbua kwenye refurb ni battery lifeMkuu umemiliki Samsung siku nyingi sana ndomana hujui jamaa kama wamechange, na kuhusu ubora wa kioo unawakosea sana Samsung maana Kwa android hakuna anaemzidi ubora wa kioo Samsung
Inaonekana we una judge ubora kioo Cha oppo toleo la sasa dhidi ya galaxy s 10 ya miaka hiyo, ila kinachonishangaza ni kutoka Samsung na kwenda Tecno na kuridhika na Yale mavioo Yao ya kupauka na ukaridhika na kuongeza tena tecno lingine ni wazi ulichelewa sana kujua simu nzuri ndugu yangu
Kuhusu charge pia Bado unaongelea Samsung za zamani, haya matoleo Yote ya A,M note series Yana battery iliyo vizuri sana, siku hizi ata watumiaji wa simu za Samsung unakuta wanapeta na battery yenye 5000mph
Samsung waligundua wanapoteza wateja wengi wa simu Kwakuwa simu zao ni ghari sana na wana tatizo la charge, kuanzia hapo wakatwist wakaleta simu za bei Chee na kuongeza ubora wa battery, kuhusu kioo hao ndio wanaongoza, kuhusu camera ni simu chache sana zinaikimbiza Samsung inategemea unalinganisha simu zipi
Unachotakiwa kujua ni kwamba Samsung wanakupa simu kulingana na mfuko wako, ndomana me pia napenda Xiaomi na oppo maana Hawa wanakupa ubora Mzuri kwenye pesa kidogo