Binafsi sijawahi kuikubali product yoyote ya JBL, I don't know why itakuwa labda nimekutana na fake zake maana ni nyingi mnoo.Yeah JBL wako njema sana unajua kwanini? They use passive bass radiatiors tech. Unakuwa na active driver na driver ingine ambayo sio active kisha ina resonate mapigo ya ile active driver. Unaweza kupata deep bass hata kwenye speaker size ya chupa ya chai.
Yah ni 28K kwenye site ila jamaa Snapdragon 8 kasema yeye alinunua 25K.Bei yake inazidi 20k?
Niambie kama haizidi Jmosi nikienda Kariakoo nikachukue.
Halaf jana nilikua K.koo walitaka kunipiga, nilipewa earpods hazina label yoyote zinauzwa 15k. Nikaachana nazo.
Watt 300 Kwa brand kama Hizi ni kinu haswa yaan hapo uboi Wala ukeli unawapa burudani mpaka pis zitaomba namba hapoHuu mzigo unaenda bei gani? Ila watts zake 300 naona kama ndogo hivi
Tatizo mnashindwa kutofautisha kati ya fake na OG ni vile ujuaji mwingi na mnapigwa vizuri kabla ujanunua hizi bidhaa fatilia vizuri ujue og ipoje fake ipoje OG ikiwaka Tu unajua iki chenyeweBinafsi sijawahi kuikubali product yoyote ya JBL, I don't know why itakuwa labda nimekutana na fake zake maana ni nyingi mnoo.
Chombo inabei kishenzi Bora ninunue boom box x3 na chenchi inabakiSony wamekuja na hii Subwoofer kama jibu. Burudani utakayoipata humu haina tofauti na JBL soundstage.
View attachment 2726997
Eeh ndio unyabumbu wenyewe 🤣Chombo inabei kishenzi Bora ninunue boom box x3 na chenchi inabaki
Hii SA SW5 WATT 300 Inacheza around M2 na Lak 8
Sent from my Pixel 4 XL using JamiiForums mobile app
Na ndio maana huwa sishoboki na majina pupular..sijui Apple sijui nini sababu najua kibongobongo hizo products nyingi ni fake. Nikiangalia bei ya JBL nchi za watu nazinavyouzwa hapa Bongo nina uhakika nyingi hapa ni fake, same applies to Apple Airpods bei ya OG na hizo za 65k unajua kabisaa hizo ni fake.Tatizo mnashindwa kutofautisha kati ya fake na OG ni vile ujuaji mwingi na mnapigwa vizuri kabla ujanunua hizi bidhaa fatilia vizuri ujue og ipoje fake ipoje OG ikiwaka Tu unajua iki chenyewe
Sent from my Pixel 4 XL using JamiiForums mobile app
Hizi nyingi ni copy na wabongo wengi mnauziwa bila kujua.
Umeona hio logo mzee nazani bado ujazijua hizi brand JBL ,okyo,wonderboom,Anker,Bose,pioneer,Sony,JVCHizi nyingi ni copy na wabongo wengi mnauziwa bila kujua.
Kazi kwako [emoji23]Hizi nyingi ni copy na wabongo wengi mnauziwa bila kujua.
Kazi kwakoKazi kwako [emoji23]
Tsh 290000 Tsh (black)
Hio ya kijeshi Tsh 90000View attachment 2727404View attachment 2727405
Sent from my Pixel 4 XL using JamiiForums mobile app
Mkuu sikubishii ila nikuwa nakwambia hizo nyingi ni fake na wanaoshoboka na hayo majina wanapigwa sanaa. Sababu hata wanaoleta OG ni wachache sana. Ni kama simu tu nyingi ni fake na Refurbished.Umeona hio logo mzee nazani bado ujazijua hizi brand JBL ,okyo,wonderboom,Anker,Bose,pioneer,Sony,JVC
Nikuletea Bose copy na OG Nina uhakika huwezi tofautisha
Sent from my Pixel 4 XL using JamiiForums mobile app
Na ndio maana huwa sishoboki na majina pupular..sijui Apple sijui nini sababu najua kibongobongo hizo products nyingi ni fake. Nikiangalia bei ya JBL nchi za watu nazinavyouzwa hapa Bongo nina uhakika nyingi hapa ni fake, same applies to Apple Airpods bei ya OG na hizo za 65k unajua kabisaa hizo ni fake.
Binafsi sijawahi kuikubali product yoyote ya JBL, I don't know why itakuwa labda nimekutana na fake zake maana ni nyingi mnoo.
JBL mchina anazifyatua like a Joke. Sio vitu vya kuuzwa kizembe K. Koo. Ukitaka kupata JBL Original labda itokee Marekani kuja hukuNa ndio maana huwa sishoboki na majina pupular..sijui Apple sijui nini sababu najua kibongobongo hizo products nyingi ni fake. Nikiangalia bei ya JBL nchi za watu nazinavyouzwa hapa Bongo nina uhakika nyingi hapa ni fake, same applies to Apple Airpods bei ya OG na hizo za 65k unajua kabisaa hizo ni fake.
Tudwii (Ina deep base sound) [emoji91]View attachment 2727563
epuka sana vitu fake,haka na udogo wake kanatoshana na kopo la kiwi,ni zaidi ya 150k za kibongo ila kakiwaka tu ule muungurumo wake utakubali kama kitu ndani yake[emoji28]
Pale mlimanicity Kwa Nyuma Kuna jamaa ana store anazo genuine speaker za JBL unatestiwa Kabisa ukiridhika unasepa nayoJBL mchina anazifyatua like a Joke. Sio vitu vya kuuzwa kizembe K. Koo. Ukitaka kupata JBL Original labda itokee Marekani kuja huku
Tudwii (Ina deep base sound) [emoji91]