Apple kwenye Airpods mpya wapewe maua yao

Apple kwenye Airpods mpya wapewe maua yao

Wakuu nimepurchase airpods pro orginal hii kitu inagonga aisee halafu nimelipia apple music yani napata ile ladha halisi ya muziki na apple music wananiletea na dobly vision kabisa muziki unaskia kila chombo kinachogonga aiseee[emoji114][emoji114] mpaka vimenifikia nimepasuka 260k ila mziki wake hujutii charge 22hrs unapigilia tu mangoma
IMG_0942.jpg
 
Wakuu nimepurchase airpods pro orginal hii kitu inagonga aisee halafu nimelipia apple music yani napata ile ladha halisi ya muziki na apple music wananiletea na dobly vision kabisa muziki unaskia kila chombo kinachogonga aiseee[emoji114][emoji114] mpaka vimenifikia nimepasuka 260k ila mziki wake hujutii charge 22hrs unapigilia tu mangomaView attachment 2754909
Asee
 
Wakuu nimepurchase airpods pro orginal hii kitu inagonga aisee halafu nimelipia apple music yani napata ile ladha halisi ya muziki na apple music wananiletea na dobly vision kabisa muziki unaskia kila chombo kinachogonga aiseee[emoji114][emoji114] mpaka vimenifikia nimepasuka 260k ila mziki wake hujutii charge 22hrs unapigilia tu mangomaView attachment 2754909

My man
 
Wakuu nimepurchase airpods pro orginal hii kitu inagonga aisee halafu nimelipia apple music yani napata ile ladha halisi ya muziki na apple music wananiletea na dobly vision kabisa muziki unaskia kila chombo kinachogonga aiseee[emoji114][emoji114] mpaka vimenifikia nimepasuka 260k ila mziki wake hujutii charge 22hrs unapigilia tu mangomaView attachment 2754909
Ukipitia youtube wanasema kujua kati ya fake na og ni ngumu kuanzia package hadi sound tofauti ni ndogo sana tena kwa mtu makini...so unaweza nunua kitu fake kwa bei ya og...ninazo kama zako ila ni mchina....anatwangwa hatareee.. na huyu mchina version tofauti tofauti kulingana na mfuko wako
 
Ukipitia youtube wanasema kujua kati ya fake na og ni ngumu kuanzia package hadi sound tofauti ni ndogo sana tena kwa mtu makini...so unaweza nunua kitu fake kwa bei ya og...ninazo kama zako ila ni mchina....anatwangwa hatareee.. na huyu mchina version tofauti tofauti kulingana na mfuko wako

Ni kweli mkuu ila nilivyo nunua nilipita kote kucheki reviews orig.. vs fake nimejua hii ni yenyewe kitu pekee nilichoipa asilimia 100% kuwa yangu ni original ni noise cancelling inafanya kazi kuna jamaa yangu anayo master copy ile ya kwanza ya vietnam ina soma kabisa warranty na srial namba na apple warranty inayo sema ukitaka kuzidefer ni kwenye noise cancelling na transparency hazifunction
 
Zina bass nzuri ?
Sjawah kupata earpods zenye bass

Sound quality kwenye mziki inatokana na aina ya simu pia mfano apple wameruhusu zile airpods zao zitolewe master copy na copy namba 3 yani original,master copy,grade 3 kwenye iphone lets say apple music ukiwa na hii pods master copy ambayo ni namba mbili utapata quality sound sawa na huyu original namba one sema kuna vitu havito function mfano noise cancellation,Transparency lakini dolby atmos itafanya kazi sasa tafuta simu heavy mfano iphone,samsung hao mi ndo najua kwa upande wa sound quality hawazinguagi mfano samsung wao dolby atmos ipo moja kwa moja kwenye simu ukidownload nyimbo inakuja na quality earpods,earbuds,airpods bila simu nzuri kubwa kwenye mziki ni kituko maana mziki unachujwa na simu.
 
Back
Top Bottom