Apple kwenye Airpods mpya wapewe maua yao

Download selenium player
Hii player ni hatari na nusu ukicheza vizuri na hizi frequency za 16 na 31 unapata dynamic deep bass ya hatari kikubwa uwe na earphones nzuri zinazo support deep bass

Mi natumia oraimo [emoji116][emoji116][emoji116]

 
Eeh kweli, kwa hio pesa huwezi nunua kitu kibovu. Ina maana hao wanaijeria ndo wanauza vitu ghali kiasi hicho. Kama za waya wanauza buku 5 jumla na zina bass sidhani kama hio earpods ni ghali hivyo.
Unamaanisha genuine pods mzee πŸ˜‚, are you serious???
 
70k unanunua kitu mara nne kwa mwaka ni sh ngp?

Hujapigia cost za usumbufu, poor quality etc...

Si bora ununue kitu ya 300k au 350k for five years, high qualitu
πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½
 
Are you guys serious? πŸ˜‚πŸ˜‚ unasema umenunua airpods genuine kwa elfu kumi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. It is a joke to me!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…