Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Game sio specification, inabidi kuwepo na tech husika kusuport hizo games. Kina Microsoft, Nvidia, Amd na hata intel sasa hivi wapo busy kila siku kutoa vitu vipya kusaidia Games, Dlss, Fsr, Ray Tracing, Vulkan, DX12 na mambo mengine kibao. Apple wala hana time na Games.Wata Anza kuzitoa coz
Mac kipindi cha nyuma walikuwa hawajawekeza Sana kwenye heavy duty computer machine