Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,419
- 2,940
Iphne 6 Ni tecno h5 yenye rangi nyeupe nyeupeAndroid sikuzote si tam kutumia, ni kama vile wako kwenye marobort
iphone 6 ni tam kutumia kulko ata s22 kwa smoothness
Japo tunanunua simu zaidi ya milion 1 na nusu ila simu pekee yenye hadhi ya bei hyo ni iphone pekee
Kuna binadamu wana masihara sana...s22 unaiweka kapu moja na iphone6.?!..mimi iphone6 siwezi kutumia hata nikipewa buremkuu unaijua s22 au umeisikia kwa watu[emoji28][emoji28][emoji28]
embu muombe aliyekupa uitizame mwambie akutolee na lock.
iphone 6 ipambanishe na s5 huko maana hata s6 bado haziendani.
Sitakaa nitumie iphone.....kwangu huo ni uchafu....au niseme gereza lenye sifa za kijinga! Hela nyingi halafu hakuna uhuru kabisa zaidi ya jina kubwa!
Mkuu kwani Android ina shida gani mpaka useme watu wake tunajifariji[emoji848][emoji848]Watu wa android wajua kujifariji.
Mkuu kwani Android ina shida gani mpaka useme watu wake tunajifariji[emoji848][emoji848]
acha kulinganisha uchafu na tunda.
Teknolojia ikimpita ila akileta apple unaweza kujua kaanza yeye.
Android zilikuja na fingerprint ila alipokuja apple utazani ndio yeye muanzilishi.
Android zilikuja na faceid ila alipokuja apple utazani ndio mwanzilishi.
iphone akitengeneza kitu unaweza kujua ndio mwanzilishi.
Android si mfumo wa kwanza kuja na finger print. Toshiba g500 na 6500
Zikiwa zina run window os ndio simu ya kwanza kuja na finger print. The baadae motorola atrix.
Hii ni sheria imepitishwa na umoja wa ulaya so hawana jinsi na pia sheria nyingine iliyopitishwa ni kuwalazimisha waruhusu 3rd part stores. So, hapo hawana namna lazima watii otherwise bidhaa zao haziwezi kuuzwa hukoNa wamesema wanataka kutumia type C charging system
tumezungumzia simu sio laptop
tumezungumzia simu sio laptop
Nimecheka sanatumezungumzia simu sio laptop
Tafuta hela ndugu yang mm sina s22 ila kutumia iphone 6 siwez bora niendelee kubaki na oneplus 8 pro yang na samsung s8+ (japo ya muda ila imeizid iphone 6[emoji1787][emoji1787]). Ngoja nijichange vizur nizame oneplus 9pro.
Muda si mrefu mnasitishiwa whatsapp [emoji1787][emoji1787][emoji1787]