Apple yadaiwa ipo njiani kuzindua simu ya iPhone 14 mnamo Septemba 7, 2022

sibishani nawewe lakini kwa namna maisha yalivyo ya kijinga,wacha tu watu wafurahie wanavyoweza.

mtu ana uwezo wa kununua iphone ajisikie raha,wacha anunue,huwenda akinunua boxer ikamnyonge.
 
Kama una matumizi nayo hata special odder from apple ni sawa. Kwa maoni yangu, Ni ujinga kuwa na kitu cha gharama huku huna matumizi nacho sababu ya fashion. Ila hayo ni maoni still unaweza kupambana na fashion kama upendavyo bila kupangiwa.
Sawa Sasa ndo washike kwa dala dala? Hawataki weka mfukoni wanageuza upande tuone apple 6
 
Reactions: Tsh
!!!
 

Attachments

  • CaptureE.PNG
    36.5 KB · Views: 8
Yaani ukishateka watu hivi unawafanya watumwa wewe Ni mwendo wa kuwafanya watamani wazidi kukuketea hela zao.
Sema bana nini tumia hela mie hata tekno Sina uwezo. Ila Nina Imani Kuna wafanyakazi wengi apple hawatumii hii simu Kama ambavyo mawaziri wa japani hawatumii hii v8 ama Ni mawazo ya kimasikini.
Mie nikiwa urusi nilikuwa nawaona watumishi wakitumia simu ndogo sema blacks halafu sent wanatumia simu za $500+.
Ama Ile dhana kuwa going outside and buying expensive cigarettes ili na wewe uwepo miongoni mwa matajiri ili kuongeza external validation Mana in deep down you feel inadequacy so you wanna feel adequacy and sense of mattering.
 
Mimi sina makuu, siku nikiweka S9+ navuta hii kazi kama mbadala wake.
Kunitoa kwenye android haitakuja tokea.
 

Attachments

  • 20220902_163622.jpg
    50.4 KB · Views: 9
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…