Application Users Vs Browser Users

Oooh pole pole
Mdg ang Alikua na allergy ya Samaki na vumbi, vikimzuru Alikua anaumuka uso kama mjapan [emoji38][emoji38]
Sasa bora huyo ya chakula
No rahisi kuacha kutumia hicho chakula..
Ya pua unakuwa hujui Nini kinasababisha na hata ukijua labda mf inasababishwa na harufu ya manukato,huwezi ikwepa maana hata ukiacha wewe kutumia huko njiani utakutana na watu wananukia..labda uwe unaishi ndani tu bila kutoka.

Halafu mziki wake Sasa si wa kitoto hasa usiku..nyama zinavimba zaidi unashindwa kuvuta hewa vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…