Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulinunua sh ngapiChizi sana wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hembu achana na infinix yangu wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]una miliki tv badala ya simu?
Kwenda huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hicho ni kifaa cha kuingilia jf tu
Kabisa yaniHahah! App ndio atakua mdaka chozi wako
[emoji23][emoji23][emoji23]yaani kanifanya nirudi kuangalia picha tena
Hahah! Sawa ngoja niipumzisheChizi sana wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hembu achana na infinix yangu wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa bora huyo ya chakulaOooh pole pole
Mdg ang Alikua na allergy ya Samaki na vumbi, vikimzuru Alikua anaumuka uso kama mjapan [emoji38][emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mjinga mwenyewe kabla sijasahau [emoji3]
Sasa unaona magettoni kabisa unakomaa kutazama dawa badala uzungushe macho kila kona
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umeme ukikatika haina matumiz[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] simu kama Friji tu
Hahah! Sawa ngoja niipumzishe
Huyo chizi hata boksi la dawa hajaona[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani mimi akili ya kuzoom sikuwa nayo kabisa.
Akili yote ilikuwa kwenye boksi la dawa
Utasikia "dada samahani umedondosha simu yako"[emoji23][emoji23]Upoteze vipi simu wakati hata ukiidondosha watu wanakuokotea na kukurudishia [emoji16]
Oh!sawa
Ulinunua sh ngapi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Utasikia "dada samahani umedondosha simu yako"[emoji23][emoji23]
Wewe si ulisema unapenda kufunua hizo page ama umesahau?Sijui na sisi tuanze vilio na malalamiko juu ya kuperuzi hizi pages?