Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Kwanza kuingia tu kwenye hiyo browsers ina complication utadhani barua ya kuomba kazi .
Huku Kwenye app tunateleza tu..
Threads sijui hata wanatafutaje...kupokupo tu nikiingia napata shida yaani kuanza kutafuta pa kuperuzi threads utadhani natafuta majibu ya trigonometry [emoji37]
Sent using Jamii Forums mobile app
Malalamiko meeeengi vitu vingine mmeshaambiwa simu zenu zina ya add, tuambie kwanza simu yako isijekuwa unasingizia tu browser 😊😂Kwanza kuingia tu kwenye hiyo browsers ina complication utadhani barua ya kuomba kazi .
Huku Kwenye app tunateleza tu..
Threads sijui hata wanatafutaje...kupokupo tu nikiingia napata shida yaani kuanza kutafuta pa kuperuzi threads utadhani natafuta majibu ya trigonometry [emoji37]
Sent using Jamii Forums mobile app
NdiyoPia inategemea na aina ya simu unayotumia.
Kwa tecno naweza kuelewa ukitumia app.
Chizi Wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Malalamiko meeeengi vitu vingine mmeshaambiwa simu zenu zina ya add, tuambie kwanza simu yako isijekuwa unasingizia tu browser [emoji4][emoji23]
Application Ndio kila kitu Tatizo ni NOTIFICATION na Kutuma picha PM (kwang siwez tuma)
Nimewahi mpa mtu simu Hakua na Smartphone alikua ana-angalia matokea yake nimetok narudi nachungulia namkuta yuko JF [emoji35][emoji35] ame back pages Mpak Karud pages za JF (Security ndogo tofuat na App unaweza log out, kule mpka ufute broswe history [emoji16])
Mtu unatumia JF kama upo Google bwana umebrowse Website ya Ajira [emoji38][emoji38][emoji38]
Ukitumia App unaweza pata All New Threads from All forums (TIMELINE 914k)
Watu wa browsers wakiingia Forum moja mpaka atoke Sio Leo ndio mana unakuta mtu anajiita Mwana MMU yani akiingia kule anashindia huko ni kisanga kutoka [emoji38][emoji38]
Bado Kuna mambo ya pages browser unavinyeza Kule juu Au chini 1 2 3 .... 5 next
Kwenye App unashuka tuu utajua mwenyewe kimpago wako pages zinajihesabu [emoji38][emoji38][emoji38]
Sisi wa App kupitia iyo (TIMELINE ) unarefresh tuu Unapata any commented thread from any forum unaiona according to time So ni mwendo wa kurefresh tuu [emoji7]
So far unaweza kusubscribe forum you want
Hapa ninapo andika sioni mambo mengine zaidi ya keyboard na nachokiandika
kwenye Browser Sasa [emoji38] huko chini Kuna mambo kibao mara kushare whatsApp, twitter, fesibook,forum statistics hapo kule chini kuna contact us, Who we are, Where we are [emoji38][emoji38][emoji38] ni vitu vizuri lakini Vina kera
Kwanini ujiweke gerezani duniana Hapa jipe raha, kwenye App vitu ni Soft Touch bwana eeeh [emoji16][emoji16][emoji16]
Ya Nini kujitesa?Ndio maana mambo ya browser yanawashinda
Ndiyo
Natumia tecno
Lakini hate ningepata simu kubwa Zaidi ya hii bado nitatumia App
Sent using Jamii Forums mobile app
Umepatia tuUsinichukulie serious, nilikuwa natania.
Jaribu kujizoesha kutumia browser, app waachie kina Khantwe.
Umepatia tu
Wala hujakosea[emoji3]
App siwezi acha kutumia hata nikibadili tena simu bado nitatumia app.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23]Ulimuona alivyoruka eti hakunipiga chini?
#alikuwaanatikisakiberiti
Itel[emoji23][emoji23][emoji125][emoji125]Malalamiko meeeengi vitu vingine mmeshaambiwa simu zenu zina ya add, tuambie kwanza simu yako isijekuwa unasingizia tu browser [emoji4][emoji23]
[emoji847][emoji847][emoji847]Naumiza sana kichwa sijui tunafanyaje tu ila ngoja nitapata tu njia sahihi ya kutamba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Itel[emoji23][emoji23][emoji125][emoji125]
Vijana kibao wanatumia appDah, mdogo wangu umezeeka ukiwa bado mdogo.
Ndio mana baadhi ya app zinajificha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vodaphone[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app