Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama wewe una 70 yeye ana 60 sawa tu [emoji3]
Bora niende juani kwa miguu na kurudi au nihame kabisa sayari, kuliko kutumia browser.Ni bora nipambane na ligi zile za nyenyere Kama 10 hivi kwenye nyuzi zake kuliko kutumia browser
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah!Bora niende juani kwa miguu na kurudi au nihame kabisa sayari, kuliko kutumia browser.
Tutakutana tu[emoji3526]Shauri yako utamkosa ostaz
Woyooo kumbe mei mosi tunaletewa kitu kipya, ngoja nikae mkao wa kula.Umeona eeh?
Wanacompications kwa vitu ambavyo hata si vya muhimu
Sijui love,
Sijui hahaha
Eti mkuu hivi vina maanani gani[emoji3]
May mosi Melo anaachia kitu[emoji847]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo umemamaliza kila kitu, hizo deficiency ndio kero kwetu, may be waboreshe zaidi.Bwana Weee App is Simplified form of web Browser ni vile tuu iko na Deficiency zake
Eti Mara dislikeWoyooo kumbe mei mosi tunaletewa kitu kipya, ngoja nikae mkao wa kula.
Hayo ya Love sijui Haha kwa kweli hayana umuhimu, mambo ni mengi muda mchache.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa kweli kwa uzee huu nafikiri app ndiyo inanifaaKwamba umri unakuwashia taa ya kijani kutumia App [emoji23][emoji23]
[emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296]Ungejua huyu nimemuacha miaka mingi Sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Endi vaisi vesa izi turuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa kweli kwa uzee huu nafikiri app ndiyo inanifaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yatakushinda, mwenzio nilikuwa nachangamsha genge tu pale.Hivi Yule uliyemsema kwenye Uzi wa mnazareth kwamba alikuimbisha mashairi Ni yupi?[emoji85]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujue comments nyingine simu inazitype sio Mimi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie nitakwenda sitini kavu, lakini browser hapana.Hahah!
Mimi nilisema nakwenda tatu kavu kukamata wingu kuliko kutumia browser [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Heee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yatakushinda, mwenzio nilikuwa nachangamsha genge tu pale.
Can't wait for the coming update [emoji122]Umeona eeh?
Wanacompications kwa vitu ambavyo hata si vya muhimu
Sijui love,
Sijui hahaha
Eti mkuu hivi vina maanani gani[emoji3]
May mosi Melo anaachia kitu[emoji847]
Sent using Jamii Forums mobile app
@Lizarazu angekuwepo angesema mna vizabinazabina nyie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie nitakwenda sitini kavu, lakini browser hapana.