😂😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alipita kwenye comment yangu
Shark anatokea wapi kule?
Jinga Wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Msalimie sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe si una undugu na Melo,Haujanifikia mimi, nishaanza kuona hiyo mei mosi ni mbali.
Oohh basi nimeona uvivu kusoma comments zote hivyo zake sijaziona, nimependa namna watu huko huu walivyoitetea app yaani wamemaliza kila kitu aise.Alishatoa michango huko juu
Amekuja huyu jamaa Next Man amemaliza kila kitu yaani[emoji847]
Jamaa nilivyosoma tu comments zake sijaona haja ya kuendelea kuchangia
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku ukiweka picha utaniambia nije kudownload[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nitafikisha salamu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukuje tu ukutane na hewaNikija huko nikusoma tu mistari[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uandae na picha kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo ukweli wenyeweOohh basi nimeona uvivu kusoma comments zote hivyo zake sijaziona, nimependa namna watu huko huu walivyoitetea app yaani wamemaliza kila kitu aise.
Heee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukuje tu ukutane na hewa
Sana, panaboa kinyama yani.Haha itafika tu yaani
Mie browser siwezi kuchangia thread kabisa naona uvivu hatari !!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani yule naona huwa anaamua tu kutuvuruga ili tupoteane humu ndaniYaani Hadi kiswahili chake kinatupiga chenga.
Sasa siku ile alichanganya Hilo Neno na kimalkia chake...nilienda kutafuta dikshenari za lugha zote 2..Hadi kumaliza kusoma comment yake kichwa kilikuwa kinaniuma[emoji23]
Ila huo msamiati nilicheka nusu kuzimia
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha itafika tu yaani
Mie browser siwezi kuchangia thread kabisa naona uvivu hatari !!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ya wazee ileSana, panaboa kinyama yani.
We hebu usitake nile ban wakati mie bado mchanga hata mwaka sijatimiza, ndiyo kwanza nina mapengo unataka nifanye kazi inayopaswa kufanywa na wenye meno.
Bora hata Wewe kidogo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani yule naona huwa anaamua tu kutuvuruga ili tupoteane humu ndani
[emoji111][emoji111] juu mawinguni, kileleni kabisa chiiiiii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We hebu usitake nile ban wakati mie bado mchanga hata mwaka sijatimiza, ndiyo kwanza nina mapengo unataka nifanye kazi inayopaswa kufanywa na wenye meno.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi mliishia wapi na yuleHeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na Mimi usiniombe kabisa picha
Zile picha za mwisho mtoto ulinichotesha dhambi Wewe[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
APP ni ya wazee.
Mie mwenyewe hapa kikristo kinanipiga chenga sana tuBora hata Wewe kidogo
Mimi ndo huwa ananivuruga vibaya mno Hadi kichwa kinaniuma
Halafu akiwaga na hasira sijui ndio kile kimalkia kinachochea Moto kichwani
Ukimkuta kwenye stori za kawaida anazipiga vizuri tu kaka yetu T
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] akhu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndugu yako Yule embu kaongee naye
Kama amekubadilishia majina ukilala ukiamka lilishakuja jingine, hata hii atakusikia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app