Application Users Vs Browser Users

mwaka 90 na mbele kidogo,haikuwepo app yoyote hivyo swala la umri sio kigezo cha uchaguzi,kwenye hii dunia hakuna jambo ama kitu kimejitosheleza.ukichagua azam tv,huwezi tumia antena,ukichagua startime,huwezi ona mpira wa tz.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…