Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi page zote zile umeshindwa kuuliza maswali basic kama hayo?
Ushafeli[emoji23][emoji23]
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Kwamba umesahau??
Unanitafutia life ban eti?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unataka kuwa kama jecha?[emoji23][emoji23]
Naanza kupata mashaka na wewe [emoji23][emoji23]Mimi mbona niko team yako?
Nampoteza anne tu hapa[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaa!
Hebu tushirikishane hapo kwenye kila unachowaza,tunaweza pata jibu sahihi
Hahaa!!
Utatusumbua sana wewe
Huyo mtoto mtundu sana hatumtaki
Unaumia na kupona bhana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hayo maswali majibu yake lazima yangeniumiza tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah kumbe ulisoma!??Si ulisema umechagua kufanya mambo mengine?[emoji16][emoji16]
Yaani hata akiwa upande wako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usinijaze huku umeona watu wamefikisha pages 192, sasa hapo ni swala la kutoa maagizo tu