Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaa!!Wacha kumfundisha mwenzio mambo mabaya [emoji3]
Asante kdPole sana Carba....
Utakuwa poa soon (InShaAllah)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Team App sio?Raha ya App ni kuwa na uwezo wa kwenda kwenye forums mbalimbali chap kwa haraka.
kero zake ni hamna notifications, na ukitumia VPN picha huwezi kuona.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kd hatumii hizo mambo bhana,yeye team mirinda nyeusi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Haelewi hata ulichotaja ni nini sasa usitake kumuharibu mdau wa milkshake [emoji3]
#TeamApp ila soon nahamia kwenye browser kwasababu ya notifications.Team App sio?
Mbona walisharekebisha mkuu#TeamApp ila soon nahamia kwenye browser kwasababu ya notifications.
Akiuliza namwambia ni juice hiyo[emoji23][emoji23]Haelewi hata ulichotaja ni nini sasa usitake kumuharibu mdau wa milkshake [emoji3]
Team mirinda nyeusi huyo
Afurahie kufungua pages sio?Karibu sana huku ufurahie jf chief