Mdenya blood
Member
- Apr 27, 2015
- 51
- 5
Naomba msaada wakuu ivi wanaojiunga na vyuo vikuu mwaka huu 2015 walisha anza application?.
Maana kuna chalii wangu kamaliza form six mwaka juzi na mwaka huu anataka kujiunga na chuo kikuu.Kama bado ni lini wanatakiwa waanze application?.
Maana kuna chalii wangu kamaliza form six mwaka juzi na mwaka huu anataka kujiunga na chuo kikuu.Kama bado ni lini wanatakiwa waanze application?.