Application za kukopesha za simu, kuhack majina ya simu za mteja bila ruhusa tofauti zile ambazo umewapa kama wadhamini

Application za kukopesha za simu, kuhack majina ya simu za mteja bila ruhusa tofauti zile ambazo umewapa kama wadhamini

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Udharura wakati mwingine hutupata sisi binadamu hata wakati mwingine uwe na mali za wingi wa kiasi gani lakini Udharura ipo siku utakupigia hodi.

-My question is that, wakati unapoazima fedha kwenye kampuni hizi, hukuomba namba yako ya simu, na namba mbili, za watu ambao huwa kama wadhamini, ikumbukwe mikopo hii huwa ni ya siku sita (6)tu, madai huanzia siku ya nne (4) kwa wadada walioandaliwa rasmi kwa ajili ya kutukana matusi ya nguoni bila heshima wala adabu,

Kibaya zaidi hizi application zao, hunyakuwa majina ya simu ya mteja karibu yote na kuanza kupiga simu kwa namba zote zilizopo katika simu tofauti na zile za wadhamini ambao ndiyo uliwaweka kwa dharura zozote,

::Swali,
Je sheria inasemaje juu ya udukuzi usio wa ridhaa katika mawasiliano ya mtu mwingine!

-Kopeni kwa majaribio muyashuhudi matusi makali, pia msisahau kurekodi.
 
Udharura wakati mwingine hutupata sisi binadamu hata wakati mwingine uwe na mali za wingi wa kiasi gani lakini Udharura ipo siku utakupigia hodi.

-My question is that, wakati unapoazima fedha kwenye kampuni hizi, hukuomba namba yako ya simu, na namba mbili, za watu ambao huwa kama wadhamini, ikumbukwe mikopo hii huwa ni ya siku sita (6)tu, madai huanzia siku ya nne (4) kwa wadada walioandaliwa rasmi kwa ajili ya kutukana matusi ya nguoni bila heshima wala adabu,

Kibaya zaidi hizi application zao, hunyakuwa majina ya simu ya mteja karibu yote na kuanza kupiga simu kwa namba zote zilizopo katika simu tofauti na zile za wadhamini ambao ndiyo uliwaweka kwa dharura zozote,

::Swali,
Je sheria inasemaje juu ya udukuzi usio wa ridhaa katika mawasiliano ya mtu mwingine!

-Kopeni kwa majaribio muyashuhudi matusi makali, pia msisahau kurekodi.
Kanuni za BOT haziruhusu huo uhuni, mimi huwezi kunitumia msg eti ni mdhamini wa fulani wakati mnakopeshana hamkunishirikisha, mimi ni muhuni kuliko wao watayakoga matusi yote.

Dawa yao wakikusambaza basi ndio mmeshalipana usilipe hata mia na hawana uwezo wa kukufanya lolote hao wanatakatisha pesa chafu tu.
 
Baada ya kunidhalilisha kisa 56k nikaenda course. Kilichofuata waliikarabati nyumba yangu yote
Hii ni app moja tu kati ya app karibu kumi niliowapitia
Screenshot_20241028-182814.jpg
Screenshot_20241028-182811.jpg
Screenshot_20241028-182746.jpg
Screenshot_20241028-182801.jpg
 
Wakishawasumbua ndgu zako basi ndo mkopo umeishia hapo, hata usipowalipa hawana la kukufanya.

Ukitaka kuwawin, tumia simu usiyoitumia kwa matumizi binafsi, weka buni namba na usave kwa majina kama mama, dada , kaka ,boss, mjomba nk.
Kopa, lipa, kopa, lipa mpaka deni liwe wakupe mkopo kuanzia 1M afu chapa ilale.
 
Kosa kisheria.

BOT wameshatangaza.

Wakiwapigia au kuwatumia sms contacts ambao hukuwaweka, au wakakupigia simu au wakakutumia sms ya kudai usiku wapelekee barua ya kuonyesha una nia ya kuwashtaki kwa usumbufu waliokufanyia.
 
Wakishawasumbua ndgu zako basi ndo mkopo umeishia hapo, hata usipowalipa hawana la kukufanya.

Ukitaka kuwawin, tumia simu usiyoitumia kwa matumizi binafsi, weka buni namba na usave kwa majina kama mama, dada , kaka ,boss, mjomba nk.
Kopa, lipa, kopa, lipa mpaka deni liwe wakupe mkopo kuanzia 1M afu chapa ilale.
wee jamaa fungua chuo cha utapeli,nitakuwa mwanafunzi wako!!!,,,maisha ya kutegemea mshahara umenichosha!!
 
Udharura wakati mwingine hutupata sisi binadamu hata wakati mwingine uwe na mali za wingi wa kiasi gani lakini Udharura ipo siku utakupigia hodi.

-My question is that, wakati unapoazima fedha kwenye kampuni hizi, hukuomba namba yako ya simu, na namba mbili, za watu ambao huwa kama wadhamini, ikumbukwe mikopo hii huwa ni ya siku sita (6)tu, madai huanzia siku ya nne (4) kwa wadada walioandaliwa rasmi kwa ajili ya kutukana matusi ya nguoni bila heshima wala adabu,

Kibaya zaidi hizi application zao, hunyakuwa majina ya simu ya mteja karibu yote na kuanza kupiga simu kwa namba zote zilizopo katika simu tofauti na zile za wadhamini ambao ndiyo uliwaweka kwa dharura zozote,

::Swali,
Je sheria inasemaje juu ya udukuzi usio wa ridhaa katika mawasiliano ya mtu mwingine!

-Kopeni kwa majaribio muyashuhudi matusi makali, pia msisahau kurekodi.
Nenda setting kisha app kisha app husika ya mkopo nenda permission, je hujawaruhusu wa access contacts zako? Sio rahisi ku hack kama unavyofikiria bali ulivyo download app hata kabla hujaisajili ilikuomba permission. Ya kuangalia contact zako ukairuhusu
 
Kosa kisheria.

BOT wameshatangaza.

Wakiwapigia au kuwatumia sms contacts ambao hukuwaweka, au wakakupigia simu au wakakutumia sms ya kudai usiku wapelekee barua ya kuonyesha una nia ya kuwashtaki kwa usumbufu waliokufanyia.
Barua utawapelekea wapi?
Kila kitu wanachotukia ni fake .
Serikali yenyewe imewapa ruhusa kutesa Watanzania
 
Barua utawapelekea wapi?
Kila kitu wanachotukia ni fake .
Serikali yenyewe imewapa ruhusa kutesa Watanzania
Siyo feki.

Ilivyo ni kwamba utakuta kampuni moja ina apps nne so waweza ona umekopa kampuni nne ila ni umekopa moja.

Na pia hua wana tabia ya kutojiassociate majina na apps zao. So mfano kampuni inaitwa JF ila app wataita Kopaujidai, nyingine mkopokujigaragaza kwahiyo ukiamua kufuatilia unafuatilia mkopokujigaragaza au kopaujidai wakati mhusika wa kweli ni JF
 
Siyo feki.

Ilivyo ni kwamba utakuta kampuni moja ina apps nne so waweza ona umekopa kampuni nne ila ni umekopa moja.

Na pia hua wana tabia ya kutojiassociate majina na apps zao. So mfano kampuni inaitwa JF ila app wataita Kopaujidai, nyingine mkopokujigaragaza kwahiyo ukiamua kufuatilia unafuatilia mkopokujigaragaza au kopaujidai wakati mhusika wa kweli ni JF
Ndio uhuni na utapeli huu na wanajificha makusudi,wanapaswa wa-declare kampuni yao na jina la app ili wabanamishwe vizuri na kushtakiwa pale wanapokosea.
 
Siyo feki.

Ilivyo ni kwamba utakuta kampuni moja ina apps nne so waweza ona umekopa kampuni nne ila ni umekopa moja.

Na pia hua wana tabia ya kutojiassociate majina na apps zao. So mfano kampuni inaitwa JF ila app wataita Kopaujidai, nyingine mkopokujigaragaza kwahiyo ukiamua kufuatilia unafuatilia mkopokujigaragaza au kopaujidai wakati mhusika wa kweli ni JF
Ndio Ninachosema.
Ni kweli wana vibali lakini kuna ufake ndani yake ili kuizunguka serikali na kujificha.
Kampuni zingine zina app zaidi ya 10. Niliona sms zile za matangazo. SMS moja imemaliza kwa kutaja app zake.
Siku moja nilishangaa kupigiwa simu na namba moja ambayo niliwasiliana nayo back days kuhusu deni la app fulani. Siku hiyo napigiwa kuhusu kukumbushwa kulipa mkopo kwenye app nyingine. The same number.
Wahudumu kila siku wanabadilishiwa simu za kupigia wateja.
Wakiharibu sana wanabadili jina la app. Mfano M loan sasa wameibadili na kujiita Swift money, hawa ndio baba wa kudhalilisha wateja pamoja na app zingine zinazomilikiwa na kampuni moja.
Ndio kampuni yenye mtaji mkubwa, wanakopesha mpaka milioni 3 kwa app moja ukiwa mteja wao uliyelipa kwa mda wanaoutaka wao.
Ila riba zao ni haramu , 50% ulipe kwa siku 5 ni kweli?
Laki 5 unajikuta unalipa laki 7 na nusu.
Hii mikopo naijua vizuri, walishawahi kuniharibia kisa 56, niliumia sana. Ile app nikawalipa nikawasiliana na boss wao Mkenya wakanikopesha kama milioni 2 na ushehe sijawalipa mpaka kesho.
 
Back
Top Bottom