Application za mikopo ya mtandaoni, ni mradi wa vigogo kukusanya hela za kampeni 2025 na ndio maana hii biashara inafanyika kama nchi haina serikali?

Application za mikopo ya mtandaoni, ni mradi wa vigogo kukusanya hela za kampeni 2025 na ndio maana hii biashara inafanyika kama nchi haina serikali?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Naomba kwa kuuliza maswali haya:
Hivi Mtanzani wa kawaida unaweza kuendesha biashara ambayo haina vibali vya serikali huku ukitumia mitandao ya simu kufanya biashara na serikali ikashindwa kukubaini/kukukamata?

Tuchukulie imeshindwa kukukukamata, je serikali itashindwa hata kutoa agizo kwa makampuni ya simu kusitisha mara moja kufanya biashara na kampuni zako(kutoa mikopo na kupokea marejesho ya mikopo kwa kutumia huduma za Mpesa, tigopesa, Airtel Money, n,k)?

Je, haiwezekani hii ni biashara ya vigogo kukusanya fedha za kampeni kuelekea uchaguzi wa 2025 au kujitajirisha?

Kwa riba ya asilimia 35 mpaka 40 kwa muda wa siku 5 mpaka 6, haya makampuni si yanatengeneza faida kubwa sana?

Katika watanzania milioni 60, kama watanzania milioni 10 au 20 wanakopa kila siku na kurudisha hizo riba kubwa ndani ya siku 5 mpaka 6, si ni wazi hawa jamaa wanatengeneza mamilino kwa mwezi tena pasipo kulipa kodi?

Wangekuwa wanapata hasara, makampuni haya yangeendelea kuongezeka?

Umewahi kujiuliza jeuri ya haya makampuni kudhalilisha watanzania wanaipata wapi?

Ni kweli serikali na taasisi zake zote wameshindwa kudhibiti makampuni yanayotoa mikopo mitandaoni kwa riba kubwa na pasipo kuwa na vibali?

Bishara kama hizi zingefanyika huko Somalia wala tusingeshangaa lakini sio kwa nchi yenye serikali na yenye vyombo vya dola!!!

No wonder watu wanamiliki vilabu vya mpira na wengine kununua boda boda na kuzigawa kama njugu.
 
Ni kweli mleta mada. Lakini tatizo kubwa ni ujinga mkubwa wa watanzania wenyewe. Na huu ujinga ndiyo unaingia mpk kwenye uchaguzi wa viongozi wa kisiasa. Wakati wa kampeni matamzania hayatumii akili.

Mikopo ya mitandaoni ni utapeli, sasa kwann watu wanajiingiza mdomoni mwa matapeli? Dhamana ya haya matapeli ni udhalilishaji wa wateja wao. Sasa kwann watu wakubali masharti haya?
 
Tumeiendekeza CCM na haya ndio mazalia yake Sasa tumeipenda wenyewe
 
Hao jamaa ni noma!
Ukistuka washakufungulia group la whatsapp lenye picha yako na unaitwa tapeli sugu
 
Naomba kwa kuuliza maswali haya:
Hivi Mtanzani wa kawaida unaweza kuendesha biashara ambayo haina vibali vya serikali huku ukitumia mitandao ya simu kufanya biashara na serikali ikashindwa kukubaini/kukukamata?

Tuchukulie imeshindwa kukukukamata, je serikali itashindwa hata kutoa agizo kwa makampuni ya simu kusitisha mara moja kufanya biashara na kampuni zako(kutoa mikopo na kupokea marejesho ya mikopo kwa kutumia huduma za Mpesa, tigopesa, Airtel Money, n,k)?

Je, haiwezekani hii ni biashara ya vigogo kukusanya fedha za kampeni kuelekea uchaguzi wa 2025 au kujitajirisha?

Kwa riba ya asilimia 35 mpaka 40 kwa muda wa siku 5 mpaka 6, haya makampuni si yanatengeneza faida kubwa sana?

Katika watanzania milioni 60, kama watanzania milioni 10 au 20 wanakopa kila siku na kurudisha hizo riba kubwa ndani ya siku 5 mpaka 6, si ni wazi hawa jamaa wanatengeneza mamilino kwa mwezi tena pasipo kulipa kodi?

Wangekuwa wanapata hasara, makampuni haya yangeendelea kuongezeka?

Umewahi kujiuliza jeuri ya haya makampuni kudhalilisha watanzania wanaipata wapi?

Ni kweli serikali na taasisi zake zote wameshindwa kudhibiti makampuni yanayotoa mikopo mitandaoni kwa riba kubwa na pasipo kuwa na vibali?

Bishara kama hizi zingefanyika huko Somalia wala tusingeshangaa lakini sio kwa nchi yenye serikali na yenye vyombo vya dola!!!

No wonder watu wanamiliki vilabu vya mpira na wengine kununua boda boda na kuzigawa kama njugu.
Maandishi mengi lakini hayana mantiki. Dawa ni kuacha KUKOPA, period.

Usitupotezee muda na thread za hovyo
 
Naomba kwa kuuliza maswali haya:
Hivi Mtanzani wa kawaida unaweza kuendesha biashara ambayo haina vibali vya serikali huku ukitumia mitandao ya simu kufanya biashara na serikali ikashindwa kukubaini/kukukamata?

Tuchukulie imeshindwa kukukukamata, je serikali itashindwa hata kutoa agizo kwa makampuni ya simu kusitisha mara moja kufanya biashara na kampuni zako(kutoa mikopo na kupokea marejesho ya mikopo kwa kutumia huduma za Mpesa, tigopesa, Airtel Money, n,k)?

Je, haiwezekani hii ni biashara ya vigogo kukusanya fedha za kampeni kuelekea uchaguzi wa 2025 au kujitajirisha?

Kwa riba ya asilimia 35 mpaka 40 kwa muda wa siku 5 mpaka 6, haya makampuni si yanatengeneza faida kubwa sana?

Katika watanzania milioni 60, kama watanzania milioni 10 au 20 wanakopa kila siku na kurudisha hizo riba kubwa ndani ya siku 5 mpaka 6, si ni wazi hawa jamaa wanatengeneza mamilino kwa mwezi tena pasipo kulipa kodi?

Wangekuwa wanapata hasara, makampuni haya yangeendelea kuongezeka?

Umewahi kujiuliza jeuri ya haya makampuni kudhalilisha watanzania wanaipata wapi?

Ni kweli serikali na taasisi zake zote wameshindwa kudhibiti makampuni yanayotoa mikopo mitandaoni kwa riba kubwa na pasipo kuwa na vibali?

Bishara kama hizi zingefanyika huko Somalia wala tusingeshangaa lakini sio kwa nchi yenye serikali na yenye vyombo vya dola!!!

No wonder watu wanamiliki vilabu vya mpira na wengine kununua boda boda na kuzigawa kama njugu.
Naamini hamna mtu clear huwapigia kelele hawa watu kuna kitu nyuma ya azia au wewe ni mdaiwa sugu,ngoja nikupe elimu haya makampuni sio kwamba yanafaida kama akiliyako ya kupembua mambo inavosoma 😂 wanakula hasara tena parefu ukitaka wakupe kwa riba ya 6% kama mabank wataoperate vipi kumbuka huweki dhamana ya mali yako pale hizo ni microfinance hizo 2000 faida watafanyia nini watalipa wafanyakazi, watalipia kodi mbalimbali je watarecover vp hasara, watalipiaje vibari, watalipia aje insurance tumia akili ukiongea hii mikopo haitolewi kwa lazima ni hiyali yako matapeli wamekua wakiita haya makampuni matapeli in relity wao ndo wametegesha kuyaibia na kudhurumu haya makampuni hawa watu hawadharirishi mteja asie mwaminifu au tapeli wacha wizi rudi kawalipe
 
Back
Top Bottom