Vipi umefanikiwa?Daah hata mie huku mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi umefanikiwa?Daah hata mie huku mkuu.
Nenda kwenye sehemi ya log in kama mtu uliye na akaunt tayari.Aliyewahi kukutana na changamoto hii msaada alitoboaje apa
Nenda kwenye sehemi ya log in kama mtu uliye na akaunt tayari.
Nenda kwenye sehemi ya log in kama mtu uliye na akaunt tayari.
Shukurani mkuuNenda kwenye sehemi ya log in kama mtu uliye na akaunt tayari.
Kuna kijana hyu amesoma shule ya kata rombo mamsera kilimanjaro alipt dv 1 akapangiwa advance bukoba akamliza na 1 yapoint 7 akaomba chuo mwaka jana akashindwa kwenda kutokana na kiwango cha mkop MWAKA KAOMBA TENA IFM KAPAT HADI SASA BADO AJAENDA KWA VILE AJUI ATAPATA MKOPO % NGAPI WAZAZI WAKE HAWANA MSAADA WOWOTE JUU YAKE ANAOMBA EIDHA APATE MKOP ASLIMIA 100 AU SPONSOR WA KUMLIPIA KIASI KITAKACHOBAKI IKIWA HATAPTA MKOP KWA % 100 NITAWEKA DOCUMENT ZAKE KAMA ZITAHITAJIKA AMINAJaribu mida ya asubuhi au jioni mchana mambo yanakuwa mengi mimi nlikuwa namuombea mdogo wangu ni wiki nzima ila nimefanikiwa

Hapana awamu huwa ni moja, labda waongeze muda, Baada ya hapo huwa ni kukata rufaa tuhivi huwa kuna hawamu zaidi ya moja kuomba mkopo heslb??
Ulikua na haraka gani?maombi ya mkopo yamekusewa baadhi ya taarifa na yamesha kuwa submitted kuna namna yoyote ya kuweza kurekebisha??
naombeni muongozo wakuu🤝
msaada wako tafadhaliUlikua na haraka gani?
Subiri wakati wa dirisha la marekebisho,utaweza kurekebisha taharifa zako...!yamesha
huwa ni mdaa gani?Subiri wakati wa dirisha la marekebisho,utaweza kurekebisha taharifa zako...!
Mkuu cheti unakitumaje RITA?1. Cheti ni meshatuma RITA na wameverify.
2. Wame approve na nimepata verification number, na nikiweka wananiletea majina yote sahihi.
Kupitia website ya EritaMkuu cheti unakitumaje RITA?
Mkuu cheti unakitumaje RITA?