raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Ukizingatia hapa hata hatujuani unaanzaje kumkasirikia mtu 😄Kweli kabisa and for what..😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukizingatia hapa hata hatujuani unaanzaje kumkasirikia mtu 😄Kweli kabisa and for what..😄
NO place for hate ✌️Ukizingatia hapa hata hatujuani unaanzaje kumkasirikia mtu 😄
Yah man why hatinNO place for hate ✌️
No room for that man, all for loveYah man why hatin
SiweziKwani huwezi kuwatoa huko mkuu?
Extrovert, huyu mwana hana nouma kweli.Uzi huuwa kirafiki ni mahsusi kwa kuwsshukuru ama kutambua umuhimu wa members wenzetu hapa JF. Mshukuru ama tambua umuhimu wa member yeyote kwa kumtag.
Kushukuru ni jambo la kiungwana.
Ninatambua umuhimu wa members hawa ninaowataja kwa kuwa good friends na kutenga muda wao kusoma kila post ninayoiweka jukwaani. Nimekuwa napata likes zao kwa wingi na kuongeza reputation yangu JF
raraa reree
Extrovert
Wakuu nawaombea heri na afya tele.
Huna baya mzeeHuna baya mkulungwa
MkuuWengine Ni Half american na mkwepu jr,Hawa majamaa wapo vizuri Sana
Ahaahaaah huyo huyo mkuuHuyo mwalimu mstaafu?🤣
Take five mkuu mpwayungu villageAhaahaaah huyo huyo mkuu
AhahaahhaaTake five mkuu mpwayungu village
Upunguze kuinanga ajira yako uliyostaafia🤣
Huyo anstahili maombi ya kufungaNilisoma SREDI yake majuzi hapa akielezea tamaa yake ya kuwa mwanamke.
Mstaafu ni mtata kweli🤣
Huyo hata umtwange na vitunguu swaumu na hiliki akitoka hapo ni mpwayungu village yule yuleHuyo anstahili maombi ya kufunga
Hakuna namna kama ataendelea na ujinga wakeHuyo hata umtwange na vitunguu swaumu na hiliki akitoka hapo ni mpwayungu village yule yule
UnafikiiiI’ll be Honest
Hivi huu msemo “huna baya” huwa mnamaanisha nini? Maana najua kila mtu ni selfish na hakuna mtu ambae hana baya.
Sasa huwa mnamaanisha nini, au ndio ule uongo uongo