Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu mnajazana maujinga na mauongo. Kila mara mimi napokea pesa paypal (Ila paypal yangu iko registred kenya maana tz paypal haipokea pesa toka miaka hiyooo) na world remit na sendwave kama kawaida tena kwenye simu.Naomba kujuzwa kuhusu hizi app za kutumia pesa toka ughaibuni kuja Tz. Nasikia kipindi hili cha uchaguzi zimezuiwa kwa muda kufanya kazi hapa Tz
Iyo world remit unaweza kuitumia kupokea au kutuma pesa ndani ya africa mashariki ?Watu mnajazana maujinga na mauongo. Kila mara mimi napokea pesa paypal (Ila paypal yangu iko registred kenya maana tz paypal haipokea pesa toka miaka hiyooo) na world remit na sendwave kama kawaida tena kwenye simu.
Hapana mtumaji anabidi awe nje ya africa. Tumia chipper inafanya kazi afrika mashariki, na ghana ila unaiconnect na mobile walletIyo world remit unaweza kuitumia kupokea au kutuma pesa ndani ya africa mashariki ?
Je unaitumiaje ?
Iyo chipper , vipi kuhusu gharama ? Je haina mlolongo ?Hapana mtumaji anabidi awe nje ya africa. Tumia chipper inafanya kazi afrika mashariki, na ghana ila unaiconnect na mobile wallet
Inabidi ukfungua accout uweke details za kweliIyo chipper , vipi kuhusu gharama ? Je haina mlolongo ?
Kwa hiyo wote(mtumaji na mpokeaji ) inabidi wote muwe na account ?Inabidi ukfungua accout uweke details za kweli