Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Habari
Nime download apps kwenye play store yangu ambayo ina test kama u HIV positive or negative. Nikaona nikipata mchepuko we test before the game.
Issue ya msingi ninayo omba kufahamu inawezekana kupima ukimwi bila kutoa damu?
Asante
Kwa hakika hizi sim za kufuta zime waharibu sana vijana wa kizazi cha leo aiseeee.......