Habari
Nime download apps kwenye play store yangu ambayo ina test kama u HIV positive or negative. Nikaona nikipata mchepuko we test before the game.
Issue ya msingi ninayo omba kufahamu inawezekana kupima ukimwi bila kutoa damu?
Asante
Mi imeniambia no virus, ukisoma maelezo yake ukiambiambiwa upo positive nenda hospital kuprove
sina imani nazo mimi nilidownload app ya kuchek blood group inanipa majibu matatu tofauti kila nimipima wakati group lang nalifahamu ila yenyewe inadanganya
Mi nimetest ikasema positive, nimeifuta fasta maana nahisi ni uongo.
Kwani huo mkono wako unaogusa nao hiyo simu hauna damu?
Hebu nitajie jina la hiyo App nitest na mie.
Mi nimetest ikasema positive, nimeifuta fasta maana nahisi ni uongo.
Kura kwa lowasa wapendwa
Mkuu hakika sumu haijaribiwi kwa kuionja? Careful manHabari
Nime download apps kwenye play store yangu ambayo ina test kama u HIV positive or negative. Nikaona nikipata mchepuko we test before the game.
Issue ya msingi ninayo omba kufahamu inawezekana kupima ukimwi bila kutoa damu?
Asante
Mkuu Mimi nimedownload ya app ya Neck ili kujua nani ataibuka mshindi uchaguzi ujao yaaani hadi rahaπππ
Du :what:
Mkuu hiyo ingekuwa NEC ningekuelewa....lakini 'Neck' πππ