Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GrindrApp ipi iyo
Kama vile nimeliona kwenye matangazo ya voda....ok acha wafu wazikane
Wanachuo ndo taifa la kesho. Itakuaje Sasa?Zipo Apps mitandaoni zinahamasisha ushoga ambapo zinaunganisha watu walio eneo moja mfano Sinza.
Iliingia humo dakika 10 nyingi mtu anakuja na Bodaboda ulipo na unapata wa kufukua mapema asubuhi.
Wanachuo wanashinda humo
Duh!Vijana wanapasuliwa mpaka huruma
Watu wanachimbana nnya bila kujisafishaZipo Apps mitandaoni zinahamasisha ushoga ambapo zinaunganisha watu walio eneo moja mfano Sinza.
Iliingia humo dakika 10 nyingi mtu anakuja na Bodaboda ulipo na unapata wa kufukua mapema asubuhi.
Wanachuo wanashinda humo
Waupate wapi uwezo huo?Hawana huo uwezo.
Hata China, USA kote huko watu wanatumia VPN ku bypass/access internet especially websites au apps zilizofungiwa, IT vichwa panzi bongo hapa hawana huo uwezo.Waupate wapi uwezo huo?
Mifumo ya TRA na bandari wamesema haisomani, wamekiri imewashinda.
IT Systems za kwenu, za hapa hapa Bongo, wametangaza zimewashinda.
Sembuse kufungia ma app na ma VPN yako kwenye server ma Ulaya huko ?
Hii vpn ya bure wameizuia, labda kama kuna nyingineHata China, USA kote huko watu wanatumia VPN ku bypass/access internet especially websites au apps zilizofungiwa, IT vichwa panzi bongo hapa hawana huo uwezo.
VPN za bure zipo nyingi sana ambazo zita bypass.Hii vpn ya bure wameizuia, labda kama kuna nyingine