Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi kama mpaka Msasani kishindo kimewafikia milipuko ni mikubwa!
kwani hii ya leo inatofauti na ile ya jana?
maana jana i was so uncomfortable..unajua tena you never know hawa CHADEMA hawaaminiki
kwani hii ya leo inatofauti na ile ya jana?
maana jana i was so uncomfortable..unajua tena you never know hawa CHADEMA hawaaminiki
Isijekuwa kuna uvamizi
Fundi, ni watu wanajenga karibu na kambi za jeshi au silaha zinahifadhiwa kwenye makazi ya watu?