Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Kuna watu wengi wamekosa amani kutokana na kusubiri kuombewa ama kusaidiwa katika mbali mbali
kuna wakati akuna kitu kizuri kama kujua adui wako anakupiga silaha hii na mie lazima nitumie silahaa
kumgoaaaaaaaaa adui yako
Kuna watu wengi wameshindwa na wanaendelea kulia kwenye mahusiano sababu wamekuwa wakimya
wakisimamia Mungu yuko upande wetu ...kweli vita si vyetu vita ni vya bwana lakini wewe kama wewe'
unatakiwa kufight kama wewe Mungu anakupa nguvu..usikubali uzinzi,umaskini,wizi,,na shida zote
unazojua zinaweza leta matatizo kwenye ndoa yako...akuna kitu kizuri kama garama....
unaitaji kugaramia kitu fulani hili uweze kushinda..kuna vita unapasw kuingia wewe kama wewe Huku Mungu
akikusimamia..usisubiri uanze kushugulikiwa ukimbillie kanisani mchungaji m yamenishinda yamekushinda
wapi umeachia njia wenzako wanakuchapa kwenye ma guest house mbaya zaidi unaweza kuta mbaya wako
yuko hapo hapo nyumbani (housgirl))
Kuna wengi wanaamini kushikwa mikono na wachungaji ndio matatizo yao yaishe weee usifikiri hivyo
wachungaji nao wana shida zao unawekewa mkono unabeba maspirit yao unafikia kukuta nyumbani nguo ziko
nje unashangaa ni ni tena sisemi usiende kuombewa ..jiombee kwanza ...
Kuwa makini sana sana kwenye maombi yako uwezi kumwambia Bwana yesu namkabidhi mbelezako yule binti
tena unamtaja mshugulikie bwanaaaaaaaaaaa usimwachee kabisaaaaaaaaa anaanza kukushugulikia wewe ulilala
unajaza matumbo utaki kufunga,,kesha komaa na maombi acheni kumshika Mungu maskio atawauma...sambaratisheni mapepo
jamani hili pepo la uzinzi limesambaa kila sehemu alichagui wabunge,waziri ...alina adabu kabisa
Just kukumbushana wale wenzangu kwenye ndoa unaitaji kufight mwondoe msambaraishe adui yako kabla
ujasambaratishwa wewe..kama unajua mumeo/.mkeo mzinzi saliii shinda sebulen wakati umelala mwambi Mungu
namsambaratisha kila mwanamke anaemvua mume wangu nguo za ndani ,anaemfanya anashindwa kusaidia
familia hapa nyumban nasema hivi wanaume wengi wa dizaini hii wamekuwa wakimwaga kila kitu nyumbani...
usillale mpwaaa saliiiiiiiiiiiii komaaaaa shetani ni mshenzi wa wa shenzi lazima ujue silaha za vita ujue kushinda
vita ilio mbele yako
Mwisho nawatakia usiku Mwema
kuna wakati akuna kitu kizuri kama kujua adui wako anakupiga silaha hii na mie lazima nitumie silahaa
kumgoaaaaaaaaa adui yako
Kuna watu wengi wameshindwa na wanaendelea kulia kwenye mahusiano sababu wamekuwa wakimya
wakisimamia Mungu yuko upande wetu ...kweli vita si vyetu vita ni vya bwana lakini wewe kama wewe'
unatakiwa kufight kama wewe Mungu anakupa nguvu..usikubali uzinzi,umaskini,wizi,,na shida zote
unazojua zinaweza leta matatizo kwenye ndoa yako...akuna kitu kizuri kama garama....
unaitaji kugaramia kitu fulani hili uweze kushinda..kuna vita unapasw kuingia wewe kama wewe Huku Mungu
akikusimamia..usisubiri uanze kushugulikiwa ukimbillie kanisani mchungaji m yamenishinda yamekushinda
wapi umeachia njia wenzako wanakuchapa kwenye ma guest house mbaya zaidi unaweza kuta mbaya wako
yuko hapo hapo nyumbani (housgirl))
Kuna wengi wanaamini kushikwa mikono na wachungaji ndio matatizo yao yaishe weee usifikiri hivyo
wachungaji nao wana shida zao unawekewa mkono unabeba maspirit yao unafikia kukuta nyumbani nguo ziko
nje unashangaa ni ni tena sisemi usiende kuombewa ..jiombee kwanza ...
Kuwa makini sana sana kwenye maombi yako uwezi kumwambia Bwana yesu namkabidhi mbelezako yule binti
tena unamtaja mshugulikie bwanaaaaaaaaaaa usimwachee kabisaaaaaaaaa anaanza kukushugulikia wewe ulilala
unajaza matumbo utaki kufunga,,kesha komaa na maombi acheni kumshika Mungu maskio atawauma...sambaratisheni mapepo
jamani hili pepo la uzinzi limesambaa kila sehemu alichagui wabunge,waziri ...alina adabu kabisa
Just kukumbushana wale wenzangu kwenye ndoa unaitaji kufight mwondoe msambaraishe adui yako kabla
ujasambaratishwa wewe..kama unajua mumeo/.mkeo mzinzi saliii shinda sebulen wakati umelala mwambi Mungu
namsambaratisha kila mwanamke anaemvua mume wangu nguo za ndani ,anaemfanya anashindwa kusaidia
familia hapa nyumban nasema hivi wanaume wengi wa dizaini hii wamekuwa wakimwaga kila kitu nyumbani...
usillale mpwaaa saliiiiiiiiiiiii komaaaaa shetani ni mshenzi wa wa shenzi lazima ujue silaha za vita ujue kushinda
vita ilio mbele yako
Mwisho nawatakia usiku Mwema